Kwanini Wayahudi wanachukiwa na jamii nyingi duniani?

Ni taifa takatifu la Mungu,makuhani wa kitume na warithi wa ufalme wa Mungu duniani na Mbinguni.....Mungu anawapenda na kuwalinda...tabia zao zinaonyesha kuna kitu kisicho cha kawaida wanajivunia,nacho ni agano lao na Mungu! Atakaewalaani na Mungu atamlaani....

Ikiwa ufalme wa mungu upo kwao... basi ukiristo, uisilamu, ubudda na upagani hauna mpango... na sote tuwe wayahudi na kuanza kumtafuta Rabbi na kwenda kufanya circumcision na kuacha kula nguruwe na non kosher meats...

Au vipi mwana?
 
Wayahudi wanachukiwa kwa sababu na wao wanawachukia wanaowachia.

Inasemekana asili ya kuchukiwa imekuja baada ya kulaaniwa na 'Mungu' kwa kumuua Yesu msalabani.
 
sasa impact ya atomic ni ipi kama siyo kuleta mauaji ya malaki ya watu?.

Kuna watu wamegundua aspirini,paracetamol,fancida etc hamuwasemi,ila mnasifia mgunduzi wa silaha za maangamizi?

Kila ninachokijua kina pande mbili

Duniani kuna binadamu wana roho za kinyama bila kuwa na atomiki bomu utakuja kujikuta wanakuchinja na kukumaliza kabisa,hivyo kuligundua bomu hilo lina faida sana

Kuna madhara yanayoletwa na hivyo vidonge ulivyovitaja hapo na kuna vifo vimesababishwa pia

Lakini kwa hayo hatuwezi kujifanya hatuoni faida za hizo dawa kwasababu kuna vifo zimesababisha

Pia hatuwezi kujifanya hatuoni faida za kuwepo hayo mabomu kwasababu tu kuna wendawazimu wanayatumia hovyo!
 
Ninachokijua mimi ni kuwa kama mtu ana udhaifu huo uliousema hapo halafu kuna mtu akakuchukia tatizo linaanzia kwa anaechukia

Kitendo cha wewe kumchukia mtu mwenye tabia hizo ni udhaifu kwa wewe kushindwa kumuonesha makosa yake kwa kumtendea mema

Kuna mambo ya kuyachukulia tahadhari kama yale ya kigaidi na wote ambao wana promote ugaidi kwakuwa ni hatari kwa maisha ya binadamu na hata ukuwachukia hawa utakuwa na sababu ya maana

Kama mtu hana msaada na wewe anakubagua bila kukuumiza na mengine kama hayo kuna sababu gani ya kumchukia?

Lakini pia hata hayo ambayo yanadaiwa kuwa wanayafanya hao Wayahudi pia hayana ushahidi sawa na yale ambayo yanawafanya wapewe sifa nayo hayana ushahidi pia!

Hizo sasa ni UN standard labda mkuu, kibinadamu kuna power relation na mapokeo hivi umejiuliza sababu za magari kuchomwa moto ukigonga mtembea kwa miguu???!!!
 
Wayahudi wanachukiwa kwa sababu na wao wanawachukia wanaowachia.

Inasemekana asili ya kuchukiwa imekuja baada ya kulaaniwa na 'Mungu' kwa kumuua Yesu msalabani.

Mkuu ningependa ulete hapa uthibitisho wa kuchukiwa halafu ndio haya maelezo yako mengine yawe na maana!
 
Ukitaka kuona tofauti we jiulize Tanzania, Kenya na Uganda Rwanda na Burundi tuko Mil zaidi ya Mil 90. tumewahi kugundua nini? Wao wako Mil 12 at much Wamegundua yote hayo. Albert Einstein ndiye aliyegundua Atomic Bomb ambalo ndilo lililomaliza vita ya Pili ya Dunia. Yeye ndiye aliyawapa maelekezo namna ya kulitengeneza. Unafahamu Streller? Banker Buster? Python? Yote haya wamagu dua wao. Wavhina wako Bil 1.2 lakini ugunduzi wao hauna impact kubwa duniani kama hawa watu. Mtazamo tu. Baadhi ya silaha walizogundua zinatumiwa na jeshi la Marekani ni hizi hapo kwa link

https://www.jewishvirtuallibrary.org/jsource/US-Israel/israelisystems.html

Sawa wamegundua silaha... tena nzuri tu... ambazo zinatumiwa kuwauwa wanyonge na wasiohusika... hio atomic bomb unayoisifu kuwa imemaliza vita... pumbafu unajuwa wasiohatia wangapi wameuwawa pale Hiroshima na Nagasaki?
Je unajuwa vizazi hadi leo vinaendelea kuathirika kwa bomu hizo zilizorupwa na bwana wenu mmarekani?

Sifa zengine ni za kijinga kaka... sawa sawa mtu kujisifu kuwa analewa mpaka anazima na akizima wajanja wanamshughulikia... #JustSayin
 
Baadhi ya wanasayansi wakubwa wa Kiyahudi. Mfano huyo mgunduzi wa polio kasaidia wewe hadi mwanao msipate polio

Scientists:
Albert Einstein -- One of the most famous and influential scientists since Isaac Newton
Carl Sagan -- astronomer and popular science author; made book and TV series 'Cosmos'
Niels Bohr -- Nobel prize-winning Physicist: atomic structure
Roald Hoffmann -- Nobel prize winner in Chemistry: field of electronic structures
Fritz Haber -- winner of the Nobel Prize of Chemistry in 1918, for the synthesis of ammonia from its elements
Edward Teller -- Physicist, father of the hydrogen bomb
Leo Szilard -- Physicist, proved the possibility of a nuclear chain reaction in 1933.
Jonas Salk -- Developed the first polio vaccine.

Angalia hii documentary kuhusu polio vaccine, ndiyo chanzo cha HIV/AIDS Afrika na research yake ilifanywa na myahudi Dr. Kaprowski.

 
Last edited by a moderator:
Ili ku debunk madai yake kwanini wewe usiweke ishirini ambao sio Wayahudi?

Hiyo mental gymnastic inataka muda na katika michezo ya akili hapo ni bora kuomba aliyeleta mada alete vigezo vya maamuzi yake kuliko kujitwisha mzigo wa kusoma hapa huku ukijibu hoja!!!!

Shifting a burden of proof! !!!
 
Hizo sasa ni UN standard labda mkuu, kibinadamu kuna power relation na mapokeo hivi umejiuliza sababu za magari kuchomwa moto ukigonga mtembea kwa miguu???!!!

Hapana mkuu wala sio UN standard ni kawaida kabisa

Lakini pia hata kama ni hivyo bado kuna shida

Kama Wayahudi watakuwa na hiyo "shida" tutategemea kuwa wale wengine hawana hiyo "shida"

Kama hao wengine hawana basi tunategemea jambo ambalo ni tofauti kutoka kwao na hawawezi kufanya makosa yale yale ambayo hayatawatofautisha ha wale wenye tatizo

Kama ukinichukia hili maana yake una tatizo
Ukinichukia pia utakuwa unaendeleza tatizo na mwisho wa siku wote tutakuwa na matatizo

Kwa mtazamo huo hakuna wa kumsema mwengine hapa,kama hao Wayahudi "wanachukiwa" kwasababu wana matatizo basi na hao wanaowachukia nao wana matatizo na wote wanatakiwa wasemwe!
 
Basi si sote tuwe wayahudi na kuabudu dini ya kiyahudi... ikiwa kumpenda mungu ndio huko...

NKT!


Nadhani hujamtendea haki aliyetowa mawazo yake.

Nadhani usaidie kumshawishi mleta hoja ajibu hoja zetu au la itabakia kuwa uzushi.

1. wale wanao wachukia ambao amedai ni nchi nyingi ni zipi? ataje walau 20 tu na aanze nia hiyo ujerumani

2. wale wanao wachukia ni kwanini wanachuki na wayahudi walau sababu tano kama anauhakika na hoja yake

3. Je anayekuchukia pengine hata bila sababu, unasababu ya kumpenda kwanini walau sababu nne

4. Kwanini kila nchi kama sio zote zinamajeshi? wanamaadui? ni akinanani na kwanini? kama ndivyo kila taifa linachukiwa? au hapana.....majeshi, vifaru, madege nk vya nini? hofu yanini kama huchukiwi?

Badala yakutoa majibu mafupi yasiyo na msingi wa hoja, tengenezeni hoja za msingi kutetea hoja hii mataeleweka badala ya kutoa majibu ya mkato nasiyo na tija.
 
wanachukiwa na nani?hebu tupeni kwanza tafiti za nchi zinazochukiwa ndio tuendelee.
Hapana naamini kwenye kujifunza haswa kwa mijadala kama hapa!!!!!!
Central thesis ni wanachukiwa, tunajadili sababu sasa!!!!
Zimetajwa nyingi tu ambazo ni kuwasifu na si kusema why wanachukiwa per ce..if at all wanachukiwa!!!!!

Sasa unapoambiwa hawa ni wagunduzi ila ukiomba comparison frame hupewi unatajiwa tu waliyofanya hapa unaona sawa????!!!!
Nini maana ya comparative analysis???!!!!

Haya nawe umeleta concentration camps in line na kuchukiwa kwao au "intelligence" capacity????!!!!
 
pia wanachukiwa kwa kuvamia ardhi ya palestine kwa nguvu na kujenga makazi ya walowezi wa kiyahudi..huu ni uonevu ulio dhahiri
 
Kila ninachokijua kina pande mbili

Duniani kuna binadamu wana roho za kinyama bila kuwa na atomiki bomu utakuja kujikuta wanakuchinja na kukumaliza kabisa,hivyo kuligundua bomu hilo lina faida sana

Kuna madhara yanayoletwa na hivyo vidonge ulivyovitaja hapo na kuna vifo vimesababishwa pia

Lakini kwa hayo hatuwezi kujifanya hatuoni faida za hizo dawa kwasababu kuna vifo zimesababisha

Pia hatuwezi kujifanya hatuoni faida za kuwepo hayo mabomu kwasababu tu kuna wendawazimu wanayatumia hovyo!

Faida gani za hio atomic bomb boss?
 
Hiyo mental gymnastic inataka muda na katika michezo ya akili hapo ni bora kuomba aliyeleta mada alete vigezo vya maamuzi yake kuliko kujitwisha mzigo wa kusoma hapa huku ukijibu hoja!!!!

Shifting a burden of proof! !!!

Dude,huyu jamaa nimemuambia hivyo kwasababu ya kulalamika
Kakende alisema Wayahudi "wanachukiwa" kwasababu wana "akili" sana,huyo jamaa akabisha kisha Kakende akamletea ushahidi wa madai yake

Japokuwa huo ushahidi hakuukamilisha kwa namna ulivyomuambia kitu ambacho nakubaliana na wewe huyu jamaa nae akaja kuendelea kuongoza tatizo kwa kulalamika bila hata ya kutaja mmoja ambae sio Myahudi na hapo ndipo nilipomuonesha matatizo yaliyoko kwenye hoja yake

Kuna haja ya "shifting burden of proof hapo?
 
Last edited by a moderator:
Ninachoongelea ni madhara ya kuchukiwa na watu na kupendwa na watu wengine. Hoja ni kwa nn wana hukuwa. Unadhani Wajapan wa Horoshima watakuja wawapende Wayahudi? Ndiyo ilikuwa lengo langu. Kumbuka mara nyingi watu wanaofanya maovu ndiyo wanakumbukwa kuliko watu waluofanya mazuri. Ndo maana hata wewe humjui aliyegundua Panadol au Aporin lakini unamjua mtu aliyewaua sana Wayahudi
ni kwamba aliegundua atomic alikua raia wa marekani japo kigenitics ana nasaba ya kiyahudi.

Mfano mjaluo wa kenya ama sudan ama tarime huwezi kuwafanya wao ni wamoja japo genetics zao ziko sawa.
Mjaluo wa kenya akigundua kitu inabaki kuwa sifa ya kenya na wala si ya wajaluo wote wa sudan,uganda,tanzania.
 
Hapana mkuu wala sio UN standard ni kawaida kabisa

Lakini pia hata kama ni hivyo bado kuna shida

Kama Wayahudi watakuwa na hiyo "shida" tutategemea kuwa wale wengine hawana hiyo "shida"

Kama hao wengine hawana basi tunategemea jambo ambalo ni tofauti kutoka kwao na hawawezi kufanya makosa yale yale ambayo hayatawatofautisha ha wale wenye tatizo

Kama ukinichukia hili maana yake una tatizo
Ukinichukia pia utakuwa unaendeleza tatizo na mwisho wa siku wote tutakuwa na matatizo

Kwa mtazamo huo hakuna wa kumsema mwengine hapa,kama hao Wayahudi "wanachukiwa" kwasababu wana matatizo basi na hao wanaowachukia nao wana matatizo na wote wanatakiwa wasemwe!

Na.ndio focus yangu hiyo kwamba wanachukiwa????!!!!
Na nani????
Kwa nini???!!!

Siafiki kuwa wanachukiwa "kama kweli"sababu ya "mafanikio " yepi kwa nani????!!!

Na kama hayo mkuu
 
Faida gani za hio atomic bomb boss?

Kuna watu wana tabia za ajabu sana

Kuna wakati niliwahi kuona mtu akisema hapa kuwa ukitaka kumficha kitu mtu kiweke kwenye maandishi

Huyu hapa hata hajajisumbua kusoma nilichokiandika matokeo yake anakuja kuuliza swali ambalo jibu lake liko kwenye hichohicho alichoki quote

Sidhani kama nina haja ya kujihangaisha kumuandikia jibu lingine kwakuwa atafanya ujing.a uleule wa kutosoma!
 
Wadau nimeona niulize swali hili,

Kihistoria wayahudi wamekuwa wakichukiwa na jamii mbalimbali duniani.

Jana tu Museum yao imeshambuliwa huko Ubelgiji.

Wayahudi wamekuwa wakipokea vitisho katika nchi nyingi duniani, waliuawa kama mbu huko ujerumani, pia kuna pozi spesho kwa ajili ya kuwabagua (anti Semitic gesture).

Baada ya kuona wanabaguliwa, Marekani ili hapa kuwalinda popote walipo duniani.

Kwanini wanachukiwa kiasi hicho?
hata wao ni wabaguzi wa kutupwa. Kwanza bado wana laana ya mungu kwa kukataa kumkiri yesu.
 
Back
Top Bottom