Kwanini Wayahudi wanachukiwa na jamii nyingi duniani?

yani mpaka wanampinga pope ,ndo maana leo pope badala ya kutua Tel aviv inabidi atue west bank palestine kisha aende bethelehem na hii ni mara ya kwanza kwa pope kubypass tel aviv na kutua west bank.

Ni kweli mkuu,maana wayahudi wanaamini wakristo wameuziwa mbuzi kwenye gunia yesu hajaja.hata hivyo watu wakishafika israel na kurudi wanakuwa wamepata somo.
 
Moja,hujui kama sitaamini
Mbili hujui kama nitachanganya na imani

So,stop assuming things this much,hii inaonesha vle ambavyo huamini na kile ambacho unataka kukisema kama unakiamini niambie ni kitu gani cha ajabu walikufanyia?

Kama wewe ni mkristo ukirudi unaweza kuwa mpagani,kuna rafiki yangu alikuwa mlokole tulikuwa naye alivyorudi tu akaachana na mambo ya dini
 
Why jews are so hated.for the past 700 years jews have been evicted from 79 countries all over the world.WHY?.
These jews would slowly and guietly 'immigrate'into a host nation that was kind enough to take them in.As soon as they got settled,they would work together as a single unit,like ants to buy up an entire industry,be it clothing,metal,manufacturing whatever.
Then after they had created monopoly they would jackup the prices to crippling height and drop the worker's wage to slave lavel.
Industry after industry would fall to them,using profit from the last conguest then in the end they would have a complete control of a nations economy and starts draining off its wealth and moving it to foreign banks.
The population of the host nation would starve in the streets and jews got richer and richer.
In the end they were finaly evicted at gunpoint by the host nation.But by then the damage was already done and the wealth spirited away.
Thoughtcrime: Why Are Jews So Hated?
 
Wapuuzi kama nyinyi ndiyo mnaowapa chati hayo mayahudi ya kujiona wao ni bora kuliko binadamu wengine

Asilimia tisini ya wayahudi ni freemassons na yanayowapata ni unabii wa kale kwa kumuasi mungu; anayesema wayahudi ni taifa la mungu ni kwa asili tu sawa na mtu mwema kuwa na watoto mateja na wanaendelea kutajwa kwa jina lake lakini si katika uhalisia wa maisha ya kimungu
 
Wanachukiwa kwani Mungu aliwachagua kua taifa teule lakini suala la ajabu ni kwamba wamemuasi na kujitengaenezea miungu yao. Kwa hiyo hayo ni mapigo wayapatayo lkn itafika muda watamtambua.
 
eye for an eye tooth for a tooth..muisrael ukimrushia rocket yeye anakufumua na B52..mkimchangia kama waarabu anakudunda kwa siku sita..ataacha wapi kuchukiwa?

Halafu alivyokua ana akili sasa...analima na kuvuna hadi jangwani...hebu nenda ka google "DESERT AGRICULTURE"...kwa kifupi Israel ni noma.
 
eye for an eye tooth for a tooth..muisrael ukimrushia rocket yeye anakufumua na B52..mkimchangia kama waarabu anakudunda kwa siku sita..ataacha wapi kuchukiwa?

Halafu alivyokua ana akili sasa...analima na kuvuna hadi jangwani...hebu nenda ka google "DESERT AGRICULTURE"...kwa kifupi Israel ni noma.
hata wamisri wanalima jangwani na usikute production yao iko juu zaidi ya israel.

Libya wao waliwahi kuwa na mpango wa kuligeuza jangwa kuwa kijani.
 
Nilikuambia kuwa kila chenye madhara kina faida

Kuna vingine vina madhara hata kikitumia kwa mujibu wa maelezo
Kuna vingine vina madhara kama vikitumiwa kinyume na malengo

Hili suala la atomiki bomb linaingia kwenye kutumiwa kinyume na malengo
Kama mtu ana sifa za kuwa na chuki na wengine bila kufikiri unadhani ni salama kuwa kwenye umiliki ya atomic bomb?

Hapana,madhara yapo hata kama vikitumiwa kwa maelezo sahihi!

Bwana mkubwa... I beg to differ!

Ukitumia vitu kwa usahihi wake hakuna madharaaa!!

Na kuhusu chuki na wengine... dah unanifurahisha mkuu... nani anaeamua yupi uwe na chuki na yupi hana chuki? Iran wana chuki, Israel hawana? India hawana? North na South Korea je?

Au USA lina moyo msafi kuliko wote?

Kipi kipimo cha chuki?
 
Kama umerudia kusoma na hujaona hakuna tofauti na nikikuandikia tena hapa kwani hutaelewa pia

Siku hizi nina kawaida moja
Sipotezi muda na watu ambao wenyewe ni kuja kubisha tu bila hata kufikiri,nawapotezea tu

Maelezo niliyokupa yanajitosheleza sana na hili swali lako,nenda kasome mara nyingi uwezavyo huenda utaelewa na kama hutaelewa hilo ni tatizo lako na sio langu

Utatafuta mtu mwingine akusaidie kuelewa

Nitakupa maelezo mafupi kuhusiana na vidonge
Mama yangu aliwahi kupata maumivu ya nyonga na tukampeleka hospital ya KCMC daktari baada ya kumfanyia vipimo alimuambia kuwa kinachomletea matatizo ni sumu inayotokana na vidonge alivyokuwa anatumia kutibu maradhi mbalimbali kabla ya wakati ule alipougua

Daktari alimpatia matibabu na alipona

Now you have it!!

Nimeomba faida za Atomic Bomb bwana Msomi tafadhali. ..
 
Nani kawaambia wale ndo wayahudi wale sio historia imepindishwa wayahudi ni watu weusi na sio wale waashkrnazi
 
Bwana mkubwa... I beg to differ!

Ukitumia vitu kwa usahihi wake hakuna madharaaa!!
Hili nimeshalijibu,tafuta hiyo post usome nilichoeleza
Na kuhusu chuki na wengine... dah unanifurahisha mkuu... nani anaeamua yupi uwe na chuki na yupi hana chuki?
Kama ungejiuliza kwa makini ungeona tu hata wewe una haja ya kujibu ni kivipi umejua kuna chuki na jibu ambalo ungelipata hapo lingekusaidia kujibu ulichouliza
Iran wana chuki, Israel hawana? India hawana? North na South Korea je?
Ni akina nani wanatamani kuliondoa taifa mojawapo lisionekane kwenye uso wa dunia?
Ni watu gani kila siku wanasema wana njaa ya kuitawala dunia?
Ni wakina nani watamani mfumo wao wa maisha na sheria utawale dunia?
Akina nani wanajitoa mhanga kila siku?

Unajua hadi mtu anafikia kujitoa mhanga huyo mtu ameshindwa kuanzisha vita vya ana kwa ana hivyo anatumia njia ya kujitoa mhanga kwasababu wale anaotamani wasiwepo duniani kwasababu zake anazojua yeye ni imara kivita kuliko yeye hivyo anaamua kwenda kujilipua sasa jiulize mtu huyo akimiliki bomu la atomic itakuwaje?

Nyinyi watu sijui mnafikirije
Au USA lina moyo msafi kuliko wote?
U.S.A Inakujaje hapa kwenye haya mazungumzo?
Kipi kipimo cha chuki?
Nimekujibu hapo juu!
 
Nani kawaambia wale ndo wayahudi wale sio historia imepindishwa wayahudi ni watu weusi na sio wale waashkrnazi
bible ilishasema kuna watu watajiita wao wayahudi lakini sio,wao ni wa sinagogi la shetani.
 
You are totally wrong check percentage ya jews ,wakristo waliopo middle east wote ni waarabu wapalestina ambao ndio sehemu waliyozaliwa.wayahudi wakristo hawafiki hata asilimia moja 1 .please mnajiongopea sana hawamtambui yesu na wala hawamjui mnajipendekeza tu.

Ni kweli wayahudi hawamkubali Yesu. Wanasema si walieahidiwa, wanasema Yesu hakufikia vigezo ambavyo walitarajia. Lakini Yesu anasema Nabii hakubaliki kwao, ndio maana Middle east wote hawamkubali Yesu pamoja na Miujiza yake, Cha ajabu wanamkubali Mohammed sana though hakuwa na miujiza yoyote mipya
 
Hili nimeshalijibu,tafuta hiyo post usome nilichoeleza

Kama ungejiuliza kwa makini ungeona tu hata wewe una haja ya kujibu ni kivipi umejua kuna chuki na jibu ambalo ungelipata hapo lingekusaidia kujibu ulichouliza

Ni akina nani wanatamani kuliondoa taifa mojawapo lisionekane kwenye uso wa dunia?
Ni watu gani kila siku wanasema wana njaa ya kuitawala dunia?
Ni wakina nani watamani mfumo wao wa maisha na sheria utawale dunia?
Akina nani wanajitoa mhanga kila siku?

Unajua hadi mtu anafikia kujitoa mhanga huyo mtu ameshindwa kuanzisha vita vya ana kwa ana hivyo anatumia njia ya kujitoa mhanga kwasababu wale anaotamani wasiwepo duniani kwasababu zake anazojua yeye ni imara kivita kuliko yeye hivyo anaamua kwenda kujilipua sasa jiulize mtu huyo akimiliki bomu la atomic itakuwaje?

Nyinyi watu sijui mnafikirije

U.S.A Inakujaje hapa kwenye haya mazungumzo?

Nimekujibu hapo juu!

Nahisi tutukukabidhi jukwaa la siasa sio jukwaa la kutoa hoja kwa umakini.
 
Kumekuwa na mtindo kuwa matajiri wakubwa duniani wanasemwa eti ni jews.unakuta watu kama akina rothchild,goldaman sachez,google,facebook,fox news etc.
Yesu alisema.
Revelation 3:9.
=i will make those who are of the SYNAGOGUE OF SATAN,WHO CLAIM TO BE JEWS THOUGH THEY ARE NOT BUT ARE LIAR...i will make them to come and fall down at your feet and acknowledge that i have loved you.

Tena revelation 2:9.
=i know about your sufferring and your poverty...but you are rich,i know the blasphemy of those oppossing you.THEY SAY,THEY ARE JEWS,BUT THEY ARE NOT,BECAUSE THEIR SYNAGOGUE BELONG TO SATAN.
 
Ni kweli wayahudi hawamkubali Yesu. Wanasema si walieahidiwa, wanasema Yesu hakufikia vigezo ambavyo walitarajia. Lakini Yesu anasema Nabii hakubaliki kwao, ndio maana Middle east wote hawamkubali Yesu pamoja na Miujiza yake, Cha ajabu wanamkubali Mohammed sana though hakuwa na miujiza yoyote mipya

Humjui muhammad(saw) msome vizuri ndio utamfahamu.
 
Back
Top Bottom