Sanda Matuta
JF-Expert Member
- May 9, 2007
- 949
- 134
Shukrani mkuu kwa hongera zako.
Mi bado nipo nipo natarajia kuoa 2012 nipo kwenye mchakato wa kupata BRAND NEW.
Ok unakaribishwa kwenye Club yetu,ila mambo yenyewe ndio kama hayo watu WANAKUMBUSHIA
Sasa hata ukipata BRAND NEWkuna wale walio cheza nae mchezo wa BABA na MAMA na KIJIPIKILSHA