Kwanini watu wanakumbushia?

Shukrani mkuu kwa hongera zako.
Mi bado nipo nipo natarajia kuoa 2012 nipo kwenye mchakato wa kupata BRAND NEW.

Ok unakaribishwa kwenye Club yetu,ila mambo yenyewe ndio kama hayo watu WANAKUMBUSHIA
Sasa hata ukipata BRAND NEWkuna wale walio cheza nae mchezo wa BABA na MAMA na KIJIPIKILSHA
 
Yeah ni kweli kukumbushia muhimu na kama umeoa mke used ukae ukijua mahawala iwa hawaachani hata wakipotezana miaka 20 au 30 lazima wakumbushie penzi lao la dhamani hii haikwepeki.

Wewe unakuwa brand new au??

tena mwanamke ''UKIM-BIKIRI'' ndo umemaliza kazi........!
myth tu....

Alafu mm haka katabia ka kukumbushia ninako sana hata nikienda kijijini lazima nikumbushie nikienda Chuda lazima nikumbushie nikienda Shycom lazima nikienda Mbeya lazima nitafute koloni langu la enzi hilo na tunakumbushia.
Ni tabia ya mtu na tabia haina dawa......

Kuna wimbo mmoja wa zilipendwa uliimbwa na bendi ya JWTZ (Jeshi la Wakurya Tangu Zamani???), una kibwagizo......."tuachane kwa wema mamaa, ili tukijakutana popote pale, tusalimiane, ikiwezekana turudiane (of course siyo TUKUMBUSHIANE!!!), cha kujiuliza je, mliachana mkiwa mnapendana? Au nini kilisababisha kutengana kwenu? Kuna rafiki yangu mmoja, yeye alikuwa bado anasoma sec. school, alikuwa na gf wake ambaye kuna siku alimwambia (rafikiangu), achague kusoma au waoane, jamaa akachagua kusoma!! Baada ya miaka kadhaa kupita, jamaa akiwa tayari ameoa na bibie ameolewa, walikutana na kuanza "KUKUMBUSHIA", jamaa wana miaka zaidi ya mitano BADO WANAKUMBUSHIA!!!!!
Kufanya maamuzi ya haraka hupelekea kujutia na baadae kusema laiti ningelijua.....

Mkuu! hii inatokea automatic esp pale mnapokutana maeneo ambayao mapenzi yalikuwa kwenye peak. Pia kama uliyoko naye kwa hivi sasa hana quality za ex mkikutana mnaweka mikono juu mnasahau shida zenu.
Nguli.... mapenzi yakiwa kwenye peak mnaachananaje hadi mje mkumbushie...fafanua

Hamuombani, yaani siku ukikutana naye
Hizi automatic mhhhh....

Mkulu,

Hongera zako,kwani kwa maneno mengine wewe Umeoa BRAND NEW au siyo?
Kama umeoa( Fidel) brand new wakati wewe ni used!

Naomba nami niweke senti mbili zangu kama ifuatavyo.
Niliwahi kusikia kutoka kwa watu walioshi miaka ileeeee ya 47 kuwa moja ya sababu zilizokuwa zinawafanya watu kuoa mapema ni kuepuka kuonjaonja huku na kule na kujikuta ukitangatanga hata baada ya kuingia kwenye ndoa. Ukiwa na tabia ya sampling basi utapata shida sana maishani mwako maana hutaacha kulinganisha.Utakuwa kila mara unalinganisha huyu na yule na yule.... na ukipata mwanya tu basi ndio mambo ya kukumbushia hutokea.

Ukiingia kwenye ndoa za kulazimisha na mtu ambaye hukuwa tayari naye kwa sababu moja ama nyingine, au ukikatizwa penzi wakati haukuwa tayari kuachana na mwenzio..chances are kweli mtakumbukia mkipata nafasi hasa kama hamjali maadili, wala kuogopa Mungu.
 
Yeah ni kweli kukumbushia muhimu na kama umeoa mke used ukae ukijua mahawala iwa hawaachani hata wakipotezana miaka 20 au 30 lazima wakumbushie penzi lao la dhamani hii haikwepeki.
..Mh! Si kweli Fidel...
 
kwa hiyo mzee HAUKUMBUSHIAGI KABISA?......:D

Niliwahi kuweka istoaria yangu hapa na Mrs Nguli, tulikutana UD nikiwa na miaka 22 nimetokea seminary nilikouasi upadirisho. so she is my first n last in Jesus name Amen. So sina wakukumbushia.
 
Niliwahi kuweka istoaria yangu hapa na Mrs Nguli, tulikutana UD nikiwa na miaka 22 nimetokea seminary nilikouasi upadirisho. so she is my first n last in Jesus name Amen. So sina wakukumbushia.
ACHA UONGO NGULI.....!
tunajua
 
ile inatokea outomatic bana yani asaukute ulikuwamnafikishana vizuri yani atakama kaolewa au umeoa utajikuta kiulaini mmekumbushiana
 
Naomba nami niweke senti mbili zangu kama ifuatavyo.
Niliwahi kusikia kutoka kwa watu walioshi miaka ileeeee ya 47 kuwa moja ya sababu zilizokuwa zinawafanya watu kuoa mapema ni kuepuka kuonjaonja huku na kule na kujikuta ukitangatanga hata baada ya kuingia kwenye ndoa. Ukiwa na tabia ya sampling basi utapata shida sana maishani mwako maana hutaacha kulinganisha.Utakuwa kila mara unalinganisha huyu na yule na yule.... na ukipata mwanya tu basi ndio mambo ya kukumbushia hutokea.

Ukiingia kwenye ndoa za kulazimisha na mtu ambaye hukuwa tayari naye kwa sababu moja ama nyingine, au ukikatizwa penzi wakati haukuwa tayari kuachana na mwenzio..chances are kweli mtakumbukia mkipata nafasi hasa kama hamjali maadili, wala kuogopa Mungu.

Kwa muhtasari tu wa uliyoandika hapo ni kwamba kukumbushia ni rukhsa ila tu lazima uwe na ''justification''!! :)
 
Kama umeoa( Fidel) brand new wakati wewe ni used!

WOS we andaa mchango wako 2012 mm nakamata mwali tena nazindua mwenyewe.
Sawa mm used lakini mwali wangu hatakuwa used.
 
Kwa muhtasari tu wa uliyoandika hapo ni kwamba kukumbushia ni rukhsa ila tu lazima uwe na ''justification''!! :)
Siyo swala la justification... ukinisoma kwa undani utaona kuna mambo mengi sana katika nilichokiandika. Kwa uchache:-
1. Mwonja asali haonji mara moja - epuka kuonjaonja - utajenga mazoea Tujifunze kwa lichosema Nguli na Fidel.
2. Ukiweza jihadhari na maamuzi ya harakaharaka maana utakuja kujuta mbele ya safari na kutanga ukitafuta faraja.
3. Binadamu alivyoumbwa ni vigumu kumuelewa - ni fumbo ambalo si rahisi kulifumbua kwa kujadili kama tunavyofanya hapa.
 
ACHA UONGO NGULI.....!
tunajua

Kama unajua ukweli kuliko mimi na Mrs Nguli weka hapa na wote waufahamu tena ikiwezekana ambatanisha na picha nakuruhusu.
Sionagi sababu maishani mwangu kumchagua mtu waku spend the rest of my life with niwe wakumpa machungu the rest of her life.
Kama kawaida yangu naamini na Mungu baba atanisimamia I am here to make the defference.
 
jamani hii hatari eeh na hii Topic iko vere sensitive
Hivi mabinamu nyie mkikutana na ma -X wenu milioachana nao kwa uzuri mnaweza kukumbushia?
ZD ,Geoff ,Nguli ,Xpin Kaizer ..,camel MJ1 ,bht ,Pretty ,Lilly,Pearl ,na wewe Klorokwin dawa ya Maralia ...

lakini si vyema kukumbushia labda kama mko singo mnaweza kuurudisha uhusiano ili uchukue hatua mpya zaidi




kukumbushia kunachangiwa na kutegemeana na mambo mengi.
mfano: 1. mliachana kwa uzuri bila ugomvi!
2. mlitenganishwa na masomo au kazi baadaye mnakutana!
3. Au bado ule upendo wenu wa kwanza upo palepale!
4. Patina mmoja hamtosherezi kikamilifu mwenza wake iwapo
wapo married hivo mwingine kwena kutafuta utosherevu na
njia rahisi ni kumpata x wake!
5. nk nk nk!
 
Yeah ni kweli kukumbushia muhimu na kama umeoa mke used ukae ukijua mahawala iwa hawaachani hata wakipotezana miaka 20 au 30 lazima wakumbushie penzi lao la dhamani hii haikwepeki.

Fidel80,
Umeniacha hoi, Mke used'?????
Duuuu! labda reaction toka kwa MWJ1 NA FL, PRETTY
 
Back
Top Bottom