KIM KARDASH
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 5,139
- 1,139
Hili ndilo tatizo la kufikiri kwa masaburi! Yaani wewe ndio unajiona unajua sana kuhusu Richmond? Kuna lipi jipya ambalo halijasemwa kama sio kauli ya EL ya juzi. Sitaki ban TU LAKINI ningekupa vidonge vyako hapa
huyo jamaa kaongea mambo ya ukweli wewe acha vitisho eti unaogopa ban,huogopi ban bali huna majibu ya kina juu ya alichokisema utafuta pa kutokea kwa kuwa anajaribu kukurudisha kwenye mstari uache kushangilia "simu ya lowassa" huyo mwanume wenu wa shoka!ulerejee kwenye suala la msingi ambalo litaendelea kumtafuna bwana "mwanaume wa shoka"