Sio kweliTatizo linaadha pale anakutongoza unasema humtaki kumbe unamtaka, sijui nipo bikira kumbe bwawa, unampa jina sio lako. na yeye ndio huja na uongo mwengine ili apate anachukitaka(mzinifu huzidiwa maarifa na mzinifu mweziwe) Umeuza cheni feki, amekupa hela badia.
nimegaili sitaki mwanaume tena
Hujajib swali...Sikiliza wew sio kam Natak gar n nyumba, Japan bali nataka ukweli wa mtu ambae nampend n anaenipend bcoz gar n nyumba sio mapenz saw
Kumbe ulikuwa unazungumzia matatizo yako binafsi....wenzio wanapenda sasaNdiyo sipendi
Umeshakuwa na wanaume wangapi?!Mm napend mapenz ya kweli n si utajiri
Ya Kwakwe Huyo, Aujawahi Ona Thread Yake Ile Ya Kutafuta? Kaka Gari Unayo? !!Hiyo picha ya kwako?
Kma Unadanganywa Mpka Unakuja Shituka Mapenz Yashaiva Auoni Kwamba Hiyo Ni Weakness Yako?? Atakae Kudanganya Mpka Unampa " Utamu", Sitamlaumu. Labda Nitamlaumu Kwa Maana Ya Kutenda Dhambi.Leo Nina jambo moja tu nataka kujua kutoka kwa wanaume, Wanaume wengi kwann mkiwa katika mahusiano n mpenz, mchumba au mtu ambae una mahusiano nae hampend kueleza ukweli wenu juu ya maisha yenu mpaka mnadanganya na kusem uwongo, mfano Nina gari, nyumba na,,,,,,,,,,,vitu ving tu na kujisifu, mwisho wa siku unakuj kujua mapenz yameiva, hivi nini sababu ya kudanganya, nisaidieni jamni
Umeongea Vema na ukweli toka moyoni mwako...nikuulize...Leo Nina jambo moja tu nataka kujua kutoka kwa wanaume, Wanaume wengi kwann mkiwa katika mahusiano n mpenz, mchumba au mtu ambae una mahusiano nae hampend kueleza ukweli wenu juu ya maisha yenu mpaka mnadanganya na kusem uwongo, mfano Nina gari, nyumba na,,,,,,,,,,,vitu ving tu na kujisifu, mwisho wa siku unakuj kujua mapenz yameiva, hivi nini sababu ya kudanganya, nisaidieni jamni