Kwanini wanaume wengi hawapendi kueleza ukweli wao?

issabella

Member
Mar 15, 2016
61
32
Leo nina jambo moja tu nataka kujua kutoka kwa wanaume, wanaume wengi kwanini mkiwa katika mahusiano na mpenzi, mchumba au mtu ambaye una mahusiano nae hampendi kueleza ukweli wenu juu ya maisha yenu mpaka mnadanganya na kusema uongo, mfano nina gari, nyumba na vitu vingi tu na kujisifu, mwisho wa siku unakuja kujua mapenzi yameiva, hivi nini sababu ya kudanganya, nisaidieni jamani.
 
Uongo ndiyo unaoaminika kuliko ukweli, dem akipiga kibomu hebu mpe ukweli kuwa huna uone majibu yake
Kam hivyo ulimdangany kwanza then baadae ndo ukamwambia ukweli, kiukwli hata mm sipend kitu kam hicho n nakupig kibuti kweli
 
Leo Nina jambo moja tu nataka kujua kutoka kwa wanaume, Wanaume wengi kwann mkiwa katika mahusiano n mpenz, mchumba au mtu ambae una mahusiano nae hampend kueleza ukweli wenu juu ya maisha yenu mpaka mnadanganya na kusem uwongo, mfano Nina gari, nyumba na,,,,,,,,,,,vitu ving tu na kujisifu, mwisho wa siku unakuj kujua mapenz yameiva, hivi nini sababu ya kudanganya, nisaidieni jamni
Tatizo linaadha pale anakutongoza unasema humtaki kumbe unamtaka, sijui nipo bikira kumbe bwawa, unampa jina sio lako. na yeye ndio huja na uongo mwengine ili apate anachukitaka(mzinifu huzidiwa maarifa na mzinifu mweziwe) Umeuza cheni feki, amekupa hela badia.
 
Njoo kwa sisi wazee wewe uwe bi mdogo! huwezi kujutia. Utakua na uhakika wa nyumba, kavits, kaduka flan ka vipodozi!! Vijana wataendelea tu kukutumia.
 
Back
Top Bottom