teh teh teh....kweli utakuwa na headache
halafu, sema mhasibu ana umuhimu wake kubalance mahesabu nk, lazima awepo asee hatuwezi kuwakwepa mazima...benki...sijui wapi...wapo tu.....
Asante....huwa naona raha sana pale ninapokumbatiwa na rundo la wanafunzi wangu pale niingiapo geti la shule....kila Mtoto anataka anishike mkono.
Sisi walimu kiukweli ni walezi wazuri sana wa watoto....
Mwanafuzi akikupenda hata somo lako hulifuatilia vema.
Njaa kwa mwalimu kawaida
Unambwato.
Ndoa ni raha wala sio vita au ugomvi huwa ni tulizo la moyo baada ya majukumu yote ya kutwa nzima na kwa dunia ya leo utalipata kwa walimu wa kike kwanza hata siku moja hawezi ludi nyumbani baada ya wewe kuludi (kumtangulia) anauwezo wa kushughulikia maswala ya kifamilia kiufasaha mfano malez ya watoto nyumbani kwa kuwa saa tisa au kumi ameshaludi nyumbani, wanauluma na niwepesi kuweza kulitambua tatizo la mtu kwa kumsoma kisaikolojia na kiujumla maadili ya kazi yao ndio hasa yanayotakiwa na kwenye jamii mfano kutovaa nguo fupi, kuweka mitindo ya nywele ya ajabu ajabu au hata kuvaa maviatu marefu au nguo zisizo na star katika jamii na bila kusahau niwavumilivu pia katika maisha.
Ndoa ni raha wala sio vita au ugomvi huwa ni tulizo la moyo baada ya majukumu yote ya kutwa nzima na kwa dunia ya leo utalipata kwa walimu wa kike kwanza hata siku moja hawezi ludi nyumbani baada ya wewe kuludi (kumtangulia) anauwezo wa kushughulikia maswala ya kifamilia kiufasaha mfano malez ya watoto nyumbani kwa kuwa saa tisa au kumi ameshaludi nyumbani, wanauluma na niwepesi kuweza kulitambua tatizo la mtu kwa kumsoma kisaikolojia na kiujumla maadili ya kazi yao ndio hasa yanayotakiwa na kwenye jamii mfano kutovaa nguo fupi, kuweka mitindo ya nywele ya ajabu ajabu au hata kuvaa maviatu marefu au nguo zisizo na star katika jamii na bila kusahau niwavumilivu pia katika maisha.
si wanaenda kujadili BIG RESULT NOW sion shida hapo baba paroko
Ndoa ni raha wala sio vita au ugomvi huwa ni tulizo la moyo baada ya majukumu yote ya kutwa nzima na kwa dunia ya leo utalipata kwa walimu wa kike kwanza hata siku moja hawezi ludi nyumbani baada ya wewe kuludi (kumtangulia) anauwezo wa kushughulikia maswala ya kifamilia kiufasaha mfano malez ya watoto nyumbani kwa kuwa saa tisa au kumi ameshaludi nyumbani, wanauluma na niwepesi kuweza kulitambua tatizo la mtu kwa kumsoma kisaikolojia na kiujumla maadili ya kazi yao ndio hasa yanayotakiwa na kwenye jamii mfano kutovaa nguo fupi, kuweka mitindo ya nywele ya ajabu ajabu au hata kuvaa maviatu marefu au nguo zisizo na star katika jamii na bila kusahau niwavumilivu pia katika maisha.
Tatizo lenu wanaume mnapenda pa kupaonea!!!!!!
Mnajua huyu hata jaribu kutafuta elimu ya ziada na utabaki kumkandamiza tuuuu!!!!
Walimu hoyeee.....!