ulitaka kujua nini labda??Na wanasiri balaa
Tuwajue mashemeji zetuulitaka kujua nini labda??
Chamazi hiyo hasa kule Kisewe?huku niliko kumpata KE aliye 20+ bila mtoto kazi unayo
asiye naye ndiyo tobaa, anabugia P2 kama Panadol
kvtombana ovyo ovyo imekuwa fasheni
Tumjue wakwako kwanza!Tuwajue mashemeji zetu
Wanakuwa wamezalishwa na waume za watu na kumsingizia kijana mtoto na ukute kijana kashtuka na kumkataa mtoto.Imekuwa ni fasheni kwa wadada na mabinti wengi wanazaa bila mtoto kujulikana ni wa nani hii hatua waliofikia hawa dada zetu naona tunaelekea kupoteza maadili yetu kama watanzania
Nina dada yangu pia nina shangazi yangu hawa wote wamezaa bila kuolewa kibaya zaidi watoto haijulikani baba zao ni nani mtoto ana miaka minne mwingeni miwili sijawahi kuwaona baba zao sijawahi kuona wakitambulishwa wala kujulikana naona ndugu zangu wakipambana wenyewe kwenye malezi
Pia naona wanawake wengi na wengine najuana nao mtaani na mazingira ya kazi naona wengi ni single maza lakini baba za watoto hawajulikana hali hii imenifanya nakaa nawaza inawezekana maisha ya mbeleni hawa dada zetu naona wanaelekea kule kwenye njia za upandikazaji wa mbegu bila kuhitaji mwanaume
Mimi niliwapata wanaume vilaza mmoja hawezi kuperform anaishia kukulamba lamba mwingine hana uume kabisa anakadudu kama kidole , mwingine hana akilitimamu havuti wala hana huo muda wakuvuta , mwingine ni anaweza kila kitu ila ni malaya . Sasa niambie hapo wawili tu ndio wanajielewa kwa perfomance utaolewa nanani??Sio kwamba single mother wengi kipindi cha usichana wao wanakataa wanaume wenye nia njema ya kuwaoa, halafu wanakubali wanaume wahuni..
Tena utakuta kipindi cha usichana mdada anajua kabisa kuwa mwanaume fulani ananipenda sana na ni husband material, akitaka kuolewa hata kesho ataolewa, ila anamkataa, anaishia kumkubali mvaa jinsi za kubana na cheni shingoni..
Sio kwamba wanaozalishwa nyumbani, kipindi cha usichana wao walikuwa na tabia mbovu ambazo ziliwafukuza wanaume wa maana wenye nia ya kuwaoa.
Though pia wadada wengi kuzalia nyumbani inatokana na sisi wanaume, wengi wetu sisi wanaume ni watu wa ovyo tusiofaa kwenye jamii, mwanaume anakula mirungi na kushinda vijiweni bila kazi, mlevi, malaya, mwizi aliekubuhu etc atakuwa vipi mwanaume responsible wa kuendesha familia
Unique Flower Zemanda
Unawajua??? 😀Na wanasiri balaa
Mimi niliwapata wanaume vilaza mmoja hawezi kuperform anaishia kukulamba lamba mwingine hana uume kabisa anakadudu kama kidole , mwingine hana akilitimamu havuti wala hana huo muda wakuvuta , mwingine ni anaweza kila kitu ila ni malaya . Sasa niambie hapo wawili tu ndio wanajielewa kwa perfomance utaolewa nanani??
Ningumu jomba sasa maana anayehudumia ni haisimami imelala tu unamzuka hata kuperform kimoja kazi
Wapo hawataki kusema mababa wa watoto wao 😂😂😂Unawajua??? 😀
😀😀😀Njoo nyumbani utamkutaTumjue wakwako kwanza!
Matatizo ya nguvu za kiume kwa mwanaume sababu kubww ni kukosa ushirikiano wa mwanamkeMimi niliwapata wanaume vilaza mmoja hawezi kuperform anaishia kukulamba lamba mwingine hana uume kabisa anakadudu kama kidole , mwingine hana akilitimamu havuti wala hana huo muda wakuvuta , mwingine ni anaweza kila kitu ila ni malaya . Sasa niambie hapo wawili tu ndio wanajielewa kwa perfomance utaolewa nanani??
Ningumu jomba sasa maana anayehudumia ni haisimami imelala tu unamzuka hata kuperform kimoja kazi
Sasa nimejua Kumbe nyinyi wanaume wenye familia ndio mnaoongeza idadi kubwa ya single mazaWakati mwingine wanaume tulio na familia tunapitia wakati mgumu sana, mrembo anakaa njiani kabisa akijua hauwezi kumkwepa kama unaijua kazi vizuri. Ukimwambia nina familia anakujibu hilo alinihusu, ni Mimi na wewe sio Mimi na nyinyi hapo unajiongeza unabutua kuwaokoa wanaume wengine kudharauliwa. Mwisho ni kuwa na mtoto wa baba asiyejulikana lakini RESPONSIBLE.
😂😂😂Wapo hawataki kusema mababa wa watoto wao 😂😂😂
hewaaa, uko ukoChamazi hiyo hasa kule Kisewe?