Gulio Tanzania
JF-Expert Member
- Jan 30, 2018
- 2,233
- 4,749
Imekuwa ni fasheni kwa wadada na mabinti wengi wanazaa bila mtoto kujulikana ni wa nani hii hatua waliofikia hawa dada zetu naona tunaelekea kupoteza maadili yetu kama watanzania.
Nina dada yangu pia nina shangazi yangu hawa wote wamezaa bila kuolewa kibaya zaidi watoto haijulikani baba zao ni nani mtoto ana miaka minne mwingeni miwili sijawahi kuwaona baba zao sijawahi kuona wakitambulishwa wala kujulikana naona ndugu zangu wakipambana wenyewe kwenye malezi
Pia naona wanawake wengi na wengine najuana nao mtaani na mazingira ya kazi naona wengi ni single maza lakini baba za watoto hawajulikana hali hii imenifanya nakaa nawaza inawezekana maisha ya mbeleni hawa dada zetu naona wanaelekea kule kwenye njia za upandikazaji wa mbegu bila kuhitaji mwanaume
Nina dada yangu pia nina shangazi yangu hawa wote wamezaa bila kuolewa kibaya zaidi watoto haijulikani baba zao ni nani mtoto ana miaka minne mwingeni miwili sijawahi kuwaona baba zao sijawahi kuona wakitambulishwa wala kujulikana naona ndugu zangu wakipambana wenyewe kwenye malezi
Pia naona wanawake wengi na wengine najuana nao mtaani na mazingira ya kazi naona wengi ni single maza lakini baba za watoto hawajulikana hali hii imenifanya nakaa nawaza inawezekana maisha ya mbeleni hawa dada zetu naona wanaelekea kule kwenye njia za upandikazaji wa mbegu bila kuhitaji mwanaume