Ndevu mbili
JF-Expert Member
- Jan 11, 2011
- 379
- 40
Wengine wameshikilia nchi mkononi!
Nalo neno!.
Wengine wameshikilia nchi mkononi!
siku wahindi wakitimuliwa ntafurahi
Sio wote maana wengine walipigania uhuru wa
Wadanganyika.
Sio kononi bana awa kusha tia serikali fukoni.Wengine wameshikilia nchi mkononi!
yani huyo jamaa ni moja kati ya mifano mizuri ya hawa wageni wanayoinyonya nchi yetu,hivi inawezekana mtanzania ukaenda iran ukafanya vituko kama anavyofanya huyu jamaa?(rostam aziz) kwanza amepetaje ubunge?au na sisi wabongo tukienda iran tunaweza kupota ubunge?sidhan,yani hata iweje?hawa jamaa wamefanya nchi kama yao vile,hivi tatizo ni kwasababu nchi yangu tanzania ni maskini au?lakini hata kama ni maskini wa mali sasa tumekubali kuwa maskini wa akili,fikra na busara pia!!yani mimi hawa wageni hawa siwapendi hata kidogo,muda sio mrefu tutatawaliwa tena,maana mkwere anauza nchi Rostam Aziz balaa | Gazeti la MwanaHalisini mzaliwa wa iran lakini alipata uraia wa tz na inasemekana anamiliki uraia wa canada.........
tunaongelea wale waliotoka kwao kuja kujifanya wawekezaji na si wale waliopigania uhuru kama prof shivji............. lazima tuwatimue wageni wanaoishi bila uraia wetu kwa kigezo cha uwekezaji ........kwanini tuwatimue wawekezaji wa kichina tuache wahindi?
wasomali nao wamo kwenye hotel ya tansoma ya gold star kariakoo hivi hii nchi inaenda wapi kweli?Wapakistan wamejaa kibao kwa Bakharesa,Manji na Mohamed Enterprises tena hawana hata vibali na wanaishi kimagumashi na wengine kwenye magodowns
Kuna wimbi kubwa la wageni kuishi nchini kama wawekezaji lakini kwenye maeneo yanayoweza kufanywa na watanzania . lakini cha kushangaza msako huwa unafanywa kwa wachina tuu na si wahindi na jamii zingine za wageni. naomba msako huwe kwa jamii zote na si kuwabagua wageni hawa na kuwaacha wengine................ nini sababu ya kubagua baadhi ya wageni na kuwazuia kuwekeza kwenye maduka na kuacha wengine?
Kwa jinsi ninavyowafahamu wahindi na wa-Paki kuogopa wachina kwa competition, kuna uwezekano mkubwa sana kuwa ni mhindi powerful amehonga ili wachina waondolewe nchini ili wao waendelee kuvuna shamba la bibi!