Mzee wa Rula
JF-Expert Member
- Oct 6, 2010
- 8,171
- 3,346
Jambo usilolijua usibishe, hizo ni habari za kiusalama zaidi. Ni kweli Conservative walitoa fedha nyingi tu kwa CDM baada ya kuona ni chama ambacho kina dhamira ya kweli kabisa ya kuingia Ikulu lakini juu ya matumizi sina ushahidi nalo zilitumikaje? Amini hii vita hii ya CDM na CCM ina mikono ya mataifa ya nje na ndiyo maana CCM inakihara sana chama hiki yaani CDM kwa kuwa jamaa hawa wapo makini na utekelezaji wa majukumu yao na CCM wenyewe wanalijua hilo pasipo mashaka kabisa kwa sababu TIS ipo kwa ajili ya kuhakikisha mambo yote yanafahamika kabla hayajatokea ili hatua zichuliwe mapema lakini hili serikali ya JK haielewi ifanye nini kwa uhakika.Acha uwongo. Conservatives wa Uingereza hawakutoa fedha yoyote kwenye uchaguzi wa CHADEMA 2010.