Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,476
- 39,995
Mwanzoni mwa utawala wa JK baadhi ya vyombo vya habari vilimpamba sana hadi kuonekana kuramba miguu yake; lakini, ilipofika mwisho wa muhula wake wa kwanza inaonekana ni kama vyombo vya habari vimeonekana kugeuka kabisa.
Ni tatizo la vyombo vya habari, au ni tatizo la yeye mwenyewe au ni kitu gani kimefanya vyombo vya habari vigeuke namna hiyo? What went wrong?
Ni tatizo la vyombo vya habari, au ni tatizo la yeye mwenyewe au ni kitu gani kimefanya vyombo vya habari vigeuke namna hiyo? What went wrong?