Indian
JF-Expert Member
- Oct 27, 2012
- 821
- 708
Hii imekuwa inanipa waswas mkubwa sana wenzetu wa upande wa pili wa muungano kuendelea kukaa kimya, na inazidi kuwatia hamasa waznz kuwaonyesha ni kweli kuna kitu kinazidi kuimaliza znz, Viongozi wetu wa Tanganyika wakiongea wanatanguliza vitisho vya ubaguzi kwa Waznz hii imekaaje? Viongozi wa tanganyika tunahitaji kusikia mapungufu yenu ya muungano huu yaliyopo kwenu ili sisi tupime badala ya kuendelea kuwakejeli wanaodai nchi yao huru iliopatikana kwa mapinduzi ya 1964.