Kwanini viongozi wa Tanganyika hamuongei kuhusu mapungufu ya muungano huu?

Indian

JF-Expert Member
Oct 27, 2012
821
708
Hii imekuwa inanipa waswas mkubwa sana wenzetu wa upande wa pili wa muungano kuendelea kukaa kimya, na inazidi kuwatia hamasa waznz kuwaonyesha ni kweli kuna kitu kinazidi kuimaliza znz, Viongozi wetu wa Tanganyika wakiongea wanatanguliza vitisho vya ubaguzi kwa Waznz hii imekaaje? Viongozi wa tanganyika tunahitaji kusikia mapungufu yenu ya muungano huu yaliyopo kwenu ili sisi tupime badala ya kuendelea kuwakejeli wanaodai nchi yao huru iliopatikana kwa mapinduzi ya 1964.
 
Wadai nchi huru inayopataika kwa mapinduzi bila kuitaja au kuitaka Tanganyika. Kila la heri
Si mnadai ninyi ni koloni sasa mnataka mkoloni aongee nini ili mumsikilize tena! Ebo

Amueni hata mchana huu!
 
Hii imekuwa inanipa waswas mkubwa sana wenzetu wa upande wa pili wa muungano kuendelea kukaa kimya, na inazidi kuwatia hamasa waznz kuwaonyesha ni kweli kuna kitu kinazidi kuimaliza znz, Viongozi wetu wa Tanganyika wakiongea wanatanguliza vitisho vya ubaguzi kwa Waznz hii imekaaje? Viongozi wa tanganyika tunahitaji kusikia mapungufu yenu ya muungano huu yaliyopo kwenu ili sisi tupime badala ya kuendelea kuwakejeli wanaodai nchi yao huru iliopatikana kwa mapinduzi ya 1964.
tundu lisu akizungumza ukweli bungeni wabunge wenu huwa hawataki kuumuunga mkono wanaishia kumzomea tu
 
Hii imekuwa inanipa waswas mkubwa sana wenzetu wa upande wa pili wa muungano kuendelea kukaa kimya, na inazidi kuwatia hamasa waznz kuwaonyesha ni kweli kuna kitu kinazidi kuimaliza znz, Viongozi wetu wa Tanganyika wakiongea wanatanguliza vitisho vya ubaguzi kwa Waznz hii imekaaje? Viongozi wa tanganyika tunahitaji kusikia mapungufu yenu ya muungano huu yaliyopo kwenu ili sisi tupime badala ya kuendelea kuwakejeli wanaodai nchi yao huru iliopatikana kwa mapinduzi ya 1964.

Hivi definition yako ya viongozi ni ipi? Kama definition yako ya viongozi ni viongozi wa chama tawala na serikali basi kasome tena kamusi ya Kiswahili. Lakini kama definition yako ya viongozi ina include viongozi wa vyama vya siasa, wabunge, madiwani bila kujali wanatoka chama tawala au upinzani, then your NOT informed.

Swali lako lilipaswa liwe hivi "kwanini viongozi wa CCM wa Tanganyika hamuongei kuhusu mapungufu ya Muungano huu?" Kwasababu viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani tumesikia mara nyingi wakiongelea mapungufu ya Muungano wa serikali mbili, isipokuwa viongozi wa CCM tu ambao wao serikali mbili IT IS A WORD OF GOD. Hawahitaji kuhoji!
 
Hivi definition yako ya viongozi ni ipi? Kama definition yako ya viongozi ni viongozi wa chama tawala na serikali basi kasome tena kamusi ya Kiswahili. Lakini kama definition yako ya viongozi ina include viongozi wa vyama vya siasa, wabunge, madiwani bila kujali wanatoka chama tawala au upinzani, then your NOT informed.

Swali lako lilipaswa liwe hivi "kwanini viongozi wa CCM wa Tanganyika hamuongei kuhusu mapungufu ya Muungano huu?" Kwasababu viongozi wa vyama vya siasa vya upinzani tumesikia mara nyingi wakiongelea mapungufu ya Muungano wa serikali mbili, isipokuwa viongozi wa CCM tu ambao wao serikali mbili IT IS A WORD OF GOD. Hawahitaji kuhoji!

swadakta engeuliza viongozi wa ccm tanganyika kuhusu hilo kwani wao ndio wanao ng'ang'ania mfumo wa serekali 2 vyama vya upinzani tayari vina sera tafauti na hiyo mbaya wako wa z'bar ni ccm inayoulinda muungano kwa nguvu zote za kijeshi na kuiona z'bar ni mali yao na kusahau hizi nchi mbili huru zilizoungana
 
Waarabu tuna Usemi " NI VIZURI WATU KUHISHIMIANA NA SI KUVUMILINA".

Kwani siku zote kuvumiliana kunazaa kuleana na kubebana. Lakin kuhishimiana kunajenga nidhamu ya hali ya juu na kufuata sharia.

Poleni sana
 
Sisi hatujachoka kuwalea, pesa za kuwalea bado tunazo, watu wenyewe mko kama milioni moja tu, tunaweza kabisa kuawamudu, hilo moja, lakini la pili ni hili, hivi tokea lini mkoloni akazungumzia udhaifu wa utawala wake kwa koloni lake? hivi enzi za mzungu, uliwahi kusikia Mwingereza alalamika kwamba anaikalia Afrika kimabavu, anaeona anaonewa ndie apige kelele, nyie ni kanchi kadogo mno, ukweli ni kua, jimbo la Muheshimiwa mnyika pekee yake, yaani lile la Ubungo, ni kubwa kuliko hilo koloni letu lote, yaani Zimbabwe na Pemba, so tuendelee tu hivi hivi hadi yule anae dhani koti limembana atakasema koti limebada na anataka kulivua!
 
hawa wapemba hawana tofauti sana na waçhaga wanaotoka kwao na kufanya Arusha uwanja wa siasa na kuatarisha uchumi na maisha wa watu wa Arusha eti wanataka mabadiliko!(change yourself firt).
kadhalika wapemba nao wameacha kupalilia karafuu kwao wanakuja unguja na kudai ati waachiwe wapumue!eti vîjana hawana ajira ilihali karafuu haina tena watu wakui2nza.hawaishi tu hapo kwani mungano ukesha vunjika wanadai pemba xao rasmi
takeheed znj.
 
Hii imekuwa inanipa waswas mkubwa sana wenzetu wa upande wa pili wa muungano kuendelea kukaa kimya, na inazidi kuwatia hamasa waznz kuwaonyesha ni kweli kuna kitu kinazidi kuimaliza znz, Viongozi wetu wa Tanganyika wakiongea wanatanguliza vitisho vya ubaguzi kwa Waznz hii imekaaje? Viongozi wa tanganyika tunahitaji kusikia mapungufu yenu ya muungano huu yaliyopo kwenu ili sisi tupime badala ya kuendelea kuwakejeli wanaodai nchi yao huru iliopatikana kwa mapinduzi ya 1964.


Kwanini waseme chochote and kiundani ni Tanganyika inayoibeba Zanzibar? HUO UMEME wanaupata Wanaulipia kama vile bili ya KAHAWA; Sio GHALI na Sio Lazima Walipe hilo DENI, Sasa Ukenda tangu Miama 45 Iliyopita Utaona IMEOKA GDP ya Zanzibar...

Mauzo Nje ya NCHi Kwa sasa Zanzibar ni just 1%; Sisi tunauza sana Mazao yetu nje na tunawapa kiasi kidogo

Utalii wao ni Pwani na saa nyingine watalii wapata MATATIZO sababu ya SIASA sasa hapo uniambie wanapata pesa zaidi ya BARA?

Wazanzibari zaidi a 350,000 wanaishi bara... ni karibia na Idadi ya Wazanzibari wote wanaoishi PEMBA na Zanzibar


KWAHIYO HAUONI HIYO MISAADA??? Unataka nini BARA waongelee huo Msaada???
 
Tunahitaji michango zaid sio ya Mh. Tundu lisu tuu
Michango zaidi tumechoka kunyanyaswa na wapemba kila corner ya Dar wamejaa, wamechukua biashara za waTanganyika wanatunyonya !
 
Hii imekuwa inanipa waswas mkubwa sana wenzetu wa upande wa pili wa muungano kuendelea kukaa kimya, na inazidi kuwatia hamasa waznz kuwaonyesha ni kweli kuna kitu kinazidi kuimaliza znz, Viongozi wetu wa Tanganyika wakiongea wanatanguliza vitisho vya ubaguzi kwa Waznz hii imekaaje? Viongozi wa tanganyika tunahitaji kusikia mapungufu yenu ya muungano huu yaliyopo kwenu ili sisi tupime badala ya kuendelea kuwakejeli wanaodai nchi yao huru iliopatikana kwa mapinduzi ya 1964.

Hakuna kiongozi wa Tanganyika kwa kuwa Tanganyika ni mafala; walikubali kuizika Tanganyika na kuolewa na Tanzania. Niliwahi kuliongelea hili la Watanganyika tumelogwa na nani! Inasikitisha sana wakuu - amkeni tuidai Tanganyika yetu ndo Muungano uwepo vinginevyo hawa waarabu koko wa zanzibar watatukojolea.
 
Tusisubiri viongozi wa tanganyika waseme; tuseme sisi wenyewe watanganyika
"muungano sasa basi, wa nini wa kutuchomea makanisa yetu yenye vitu vya thamani (magitaa, vinanda, fedha na dhaabu, ali wakijua madhabau yao hayana kitu zaidi ya mikeka, makopo ya kuchambia na machera ya kubebea maiti?"
 
Waarabu tuna Usemi " NI VIZURI WATU KUHISHIMIANA NA SI KUVUMILINA".

Kwani siku zote kuvumiliana kunazaa kuleana na kubebana. Lakin kuhishimiana kunajenga nidhamu ya hali ya juu na kufuata sharia.

Poleni sana
Sharia peleka kwenu huko uharabuni, hapa ni Afrika dogo, nguruwe na bia ni kwa sana; sharia kivyenu vyenu huko. Kama we Mwarabu ulikosa nini kwenu hadi kuja huku Bongo! Mabaki ya waarabu wewe!
 
Hii imekuwa inanipa waswas mkubwa sana wenzetu wa upande wa pili wa muungano kuendelea kukaa kimya, na inazidi kuwatia hamasa waznz kuwaonyesha ni kweli kuna kitu kinazidi kuimaliza znz, Viongozi wetu wa Tanganyika wakiongea wanatanguliza vitisho vya ubaguzi kwa Waznz hii imekaaje? Viongozi wa tanganyika tunahitaji kusikia mapungufu yenu ya muungano huu yaliyopo kwenu ili sisi tupime badala ya kuendelea kuwakejeli wanaodai nchi yao huru iliopatikana kwa mapinduzi ya 1964.

Ni magamba,
Wanamuogopa nyerere! hukumbuki yaliyompata malekela? Na nyie kwa nini mnaiogopa CDM!
 
Sisi hatujachoka kuwalea, pesa za kuwalea bado tunazo, watu wenyewe mko kama milioni moja tu, tunaweza kabisa kuawamudu, hilo moja, lakini la pili ni hili, hivi tokea lini mkoloni akazungumzia udhaifu wa utawala wake kwa koloni lake? hivi enzi za mzungu, uliwahi kusikia Mwingereza alalamika kwamba anaikalia Afrika kimabavu, anaeona anaonewa ndie apige kelele, nyie ni kanchi kadogo mno, ukweli ni kua, jimbo la Muheshimiwa mnyika pekee yake, yaani lile la Ubungo, ni kubwa kuliko hilo koloni letu lote, yaani Zimbabwe na Pemba, so tuendelee tu hivi hivi hadi yule anae dhani koti limembana atakasema koti limebada na anataka kulivua!
Ah.ah.ah unanifurahisha huu wimbo wetu wa taifa zimbabwe na pemba
 
Hawa wanzibari tumewabeba vya kutosha tangu wakiwa watoto, mie nadhani imetosha, mtoto kashakuwa mwache aende akajitegemee, nini tunawang'ang'ania? Mie nimewachoka kabisa na ulalamishi wao.
 
Back
Top Bottom