Nambe
JF-Expert Member
- Jan 18, 2011
- 1,451
- 528
hii ya shetan kunipitia inanikumbusha miaka kama mi3 nyuma hv, nlikuwa saloon, mdada wa saloon akawa anamweleza shoga ake kuwa mme wake ame mmimba house girl wao,,,,baada ya kuulizwa akasema ni shetani tu mke wangu....
lililonifurahisha ni jibu la mdada alilodai kumpa mumewe, anasma alimwambia hivi,," pole sana mume wangu , kweli shetan huyu hata mie namshangaaa, yaan ameniacha mie ambaye natongozwa kila siku barabaran na wanaume wenzio, wenye hela sio ww mwenzangu na mie, akakufuata ww, na kukupa nguvu ya kumtongoza na kutembea na house girl mpaka amepata mimba..........."
lililonifurahisha ni jibu la mdada alilodai kumpa mumewe, anasma alimwambia hivi,," pole sana mume wangu , kweli shetan huyu hata mie namshangaaa, yaan ameniacha mie ambaye natongozwa kila siku barabaran na wanaume wenzio, wenye hela sio ww mwenzangu na mie, akakufuata ww, na kukupa nguvu ya kumtongoza na kutembea na house girl mpaka amepata mimba..........."
Yaani mnamsingizia shetani kua anahusika kwa mwanadamu kua na vimeo vya pembeni...