Kama kuna kosa ambalo siwezi kumsamehe mpenzi wangu ni USALITI", yaani nikigundua hata kama nimechelewa kujua ila hukumu yangu ni hapohapo.
NI KITUGANI KIPELEKEACHO MTU KUVUNJA UAMINIFU KWA MWENZI WAKO?
ETI "oooh! shetani alinipitia" siipendi hiyo kauli kama nini, kwanini huyo shetani akikupitia usije kwangu mbiombio uchojoe haraka nikwangue mzigo huo? hakuna siku umenipa nikakata kula, badala yake mi ndo nataka kila siku mpaka unakimbia uwanja ila bado unaenda kumpa mwingine.
ETI " oooh! utakulaje kila siku mchicha, lazima ubadili mboga". au "mchele uleule mapishi tofauti".
MI NAONA KWA WANAUME NI KUTAFUTA SIFA ZA KIJINGA, KWAMBA YEYE NI DUME LA MBEGU AMETEMBEA NA MADEMU WENGI, HIVYO ANATEMBEA KIFUA MBELE KWA MARINGO.
JE KWA MADEMU NINI HASA MNATAFUTA UKIACHILIAMBALI SUALA LA PESA?
NI KITUGANI KIPELEKEACHO MTU KUVUNJA UAMINIFU KWA MWENZI WAKO?
ETI "oooh! shetani alinipitia" siipendi hiyo kauli kama nini, kwanini huyo shetani akikupitia usije kwangu mbiombio uchojoe haraka nikwangue mzigo huo? hakuna siku umenipa nikakata kula, badala yake mi ndo nataka kila siku mpaka unakimbia uwanja ila bado unaenda kumpa mwingine.
ETI " oooh! utakulaje kila siku mchicha, lazima ubadili mboga". au "mchele uleule mapishi tofauti".
MI NAONA KWA WANAUME NI KUTAFUTA SIFA ZA KIJINGA, KWAMBA YEYE NI DUME LA MBEGU AMETEMBEA NA MADEMU WENGI, HIVYO ANATEMBEA KIFUA MBELE KWA MARINGO.
JE KWA MADEMU NINI HASA MNATAFUTA UKIACHILIAMBALI SUALA LA PESA?