Naomba kisahihisha kwa wanao tumia umeme chini ya unit 75 kwa mwezi gharama ya umeme ni Tsh 100, na hawa ni wateja wa Tariff4 (T4). Unit zikizodi 75 wakati yupo T4 zile unit zilizozidi mteja analipia Tsh 350.
Na mteja wa T4 hana service charge na hawa ni low usage customer.
Na mteja wa T4 hana service charge na hawa ni low usage customer.
aNi kweli ni unyonyaji sana lakin siku hzi tanesco wamepunguza gharama kwa watu wanaotumia chini ya unit 75 per month unatolewa service charge ewura na rea na unit moja unanunua 150 per month nenden mchekiwe kwenye system issue ni nyumba za kupanga matumiz huwa makubwa sana kuliko mwenye nyumba yake