Kwanini nimuamini Mtu aliyeishi miaka 600 Baada ya Kufa Kwa Yesu, Niache Kuwaamini Mathayo, Marko, Luka na Yohana walioishi nyakati ya Yesu Kristo?

Hivi unajua Sanaa manuscript (Yemen) ile Qurn kongwe kabisa iliyogunduliwa miaka ya 70 bada ya kufanyiwa research ya kutosha inaonyesha umri wake ni zaidi ya Mohamed? wakati nyie mnasema Mohamed ndiye aliyeshushiwa Quran na pia ile sio Hafs wala Warsh. Ile Quran ni kongwe kuliko Quran ya Uthman, swali hiyo Quran unayosema haijabadilika ni ipi? Uthman Quran,Sanaa,Topkapi? Topkapi Quran ina tofauti zaidi ya 2000 na hii Quran ya mwaka 1924, Wewe umehifadhi ipi kati ya hizo tatu japo zipo nyingine pia?

Topkapi Quran ina upungufu wa verse 23 kulinganisha na hii ya mwaka 1924, ni moja ya quran kongwe kabisa. Uchunguzi unaonyesha hii iliandikwa karne ya 8,je hizo verse 23 ziliongezwa na wanazuoni wa AL Azhar university? Wewe utakua umehifahi hii Quran mpya,kwanini imetofautiana na ya zamani?
Yaan Quran ni moja tu iliyopangwa na othman ambayo Jibril alimsomea Mtume hayo mengine unayajua wewe na waislam wote duniani walio amini rula Yetu ni Quran ya Muhammad SAW hayo yakuoteza sijui Yemen sijui nini ni katika kujifanya mnaweza kututoa relini kwani hata wamarekani wanayo Furqan yao walijitungia Ina Aya 77 kwahio huna jipya na hauna hoja.

Kitabu hiki hakina Shaka yoyote kama tulivyoambiwa katika Quran 2,2 hivyo muislam yoyote mwenye Iman hawezi kufikia Shaka kitabu hiki Shaka wamebaki nazo makafiri na msingi wa Imani yetu ukitilia Shaka Quran wew sio muislam umesharitadi. Hizi Kurasa za Quran zipo katka tablet yake mwenyezi Mungu Jibril ninmuaminifu na ni bosi wa malaika wote hivyo hakuna muislam kamili utamletea Shaka katika moyo wake labda awe hajasoma
 
Quran imeshuka katika hurf 7
Ina Qiraat zaidi ya 10
Lakini haijawahi kubadilika maana yake, imebaki kuwa safi iliyohifadhiwa na Allah kwa walimwengu.
Ndio maana kila mwenye kusoma kisomo cha Quran kilichothobiti hubaki na maana ile ile iliyokusudiwa. Aya njoo kafiri unayeokoteza vitu usivyovijua useme lingine. Au nikutajie na qiraat za quran.
Hafs na Warsh ndo qiraat zilizosambaa sana duniani na wengi hutumia Hafs kama qiraa kikuu. Hata kuchoma walichoma nakala ambazo zilikua zikitamka au kuandika maneno ambayo yanaondoa kabisa maana kulingana na madhaifu ya watamkaji, yaani mfano neno "sumu" likosewe kwa madhaifu ya mtamkaji hadi lifikie kutamkwa "simu" hili lazima liondolewe ili kurudisha maana halisi ya neno iliyokusudiwa.
Aliyekuokotea maneno mwambie akueleweshe vizuri maana hizo ni hoja dhaifu sana, Dunia inahaha kila siku kubadilisha maana ya maneno katika Quran lakini Quran iko moyoni mwa waumini ukitamka neno lolote lisilokuwepo utapigwa STOOOOOOPP 🚫🚫🚫🚫
Ni kina nani hao wanahangaika kubadilisha maneno ya quran?

Wanataka kubadilisha ili iweje?
 
Haujui kitu wewe na mwenzio eti unatuletea Tahrif na Nask 😂😂 alafu hata haujui ni vitu gani. Mwenzio ametuletea Quran ya Topkapi na Sanaa eti Quran ilishuka kabla ya mtume 😂😂😂
Ama kweli ukiwa kafiri unakua kilaza times 100
images (1).jpeg
 
Haujui kitu wewe na mwenzio eti unatuletea Tahrif na Nask 😂😂 alafu hata haujui ni vitu gani. Mwenzio ametuletea Quran ya Topkapi na Sanaa eti Quran ilishuka kabla ya mtume 😂😂😂
Ama kweli ukiwa kafiri unakua kilaza times 100
Fighting is obligatory for you, much as you dislike it. - 2:216
 
Kipi ambacho sijakubaliana nacho yaani nazidi kukuhabarisha sisi Yesu tunamkubali ile vibaya sanaaa, Yesu na sisi ni dugu moja 😂😂😂
Usitake kututengabisha na Yesu tuna haki nae kuliko nyie mnaojipendekeza, Kikubwa unapoleta aya za Allah usifanye Tahrif uliyoipost hapo juu ☝️ mambo ya kutuambia eti tumeletewa taurat na injili tuifate 😂😂😂😂😂
Hivi unajua ni kina nani walioletewa taurat na injili??? Wewe taurat na injili haikuhusu hata chembe, wewe umeletewa Quran ambayo huitak, fanya uende darasani ukaisome mjomba hii ni kwa ajili yako na ndugu zako wotee
Permitted stealing from unbelievers. (Bukhari 44:668, Ibn Ishaq 764)

Permitted lying. (Sahih Muslim 6303, Bukhari 49:857)
 
Sasa hapo hauelewi nini kwamba kajitoa muhanga msamehewe dhambi. Ndiyo maana kanisani mnaweka picha ya mzungu aliyevaa kichupi kuonesha alama ya kusamehewa dhambi.
Mnachukua picha ya Robert Powell au Brian Deacon akili zilivyo ndogo.


View: https://youtu.be/cKMy7YcfoQE?si=YuhJ4Bl94xS7r4g8

Kanisani kwetu hatuweki picha ya mzungu yoyote,najua wewe utatoka jehanum kwa kumkamata mkristo au myahudi mmoja ili aingie motoni kwa ajili yako . Ukikomaa wakristo na wayahudi tuingie uislam utakosa watu na kuishia jehanum.

Maajabu ya Quran hata Allah anamuombea Mohamed, sijui anaomba kwa nani? Imani yako ni mfu kwa maana founder alikufa na yuko jehanum pamoja na wazazi wake. Upande wetu kristo yuko hai,kaburi lake halina mtu pale Jerusalem.

Hata islamic sources zinasema yuko hai pamoja na Allah,mama yake pia hakuwa mdhambi mpaka roho mtakatifu alimtembelea kumpa habari za yeye kupata mimba. Kwenye tafsiri ya kiswahili mmebadilisha kwa kusema alikua ni malaika Jibril ndiye aliyemtembelea kumpa taarifa za yeye kubeba mimba .
 
Aisee Mimi maswala sijui Muhammad aisee huwa siamini kabisa ata punje ila najua Mungu yupo
 
Rabbitus Akili huna kaka umekosa hoja unakimbilia kuweka picha za kumdhihaki mtume sio??? Je ndivyo hivyo yesu anavyokufundisha??
Hiyo yote ni kuonesha kuwa ubishi mnaobishia hauna evidence hata manatafuta msaada wa propaganda za picha zenye kuudhi!! Ujumbe wangu nimeufikisha kwenu siwezi kuwa part ya kumdhihak mtume ni hiari yenu sasa kuendelea na upotevu au kuifata nuru ya Allah!!!
 
Umewasalimu wanatheolojia tu

Ama na sisi wakristo inatuhusu??

Bwana Yesu kristo alikuwa ni Mungu katika hali ya mwili
Emanuel
Yohana 14 pia anajitambulisha
Isaya inaelezea tumepewa mtoto mwanamume,

Swala lingine
MUNGU anaendelea kutumia watu wake
Na hakuishia kuwatumia mitume tuu.
Na kila wakat mungu hutuma mtu kwa ajil ya wakat huo
Nae huwa ni mmoja tuu sio taasisi ni jesh la mtu mmoja

Utamtambua kwakuwa atasema sawa sawa na mitume na biblia nzima ilivyosema

Je wa wakat wako unamtambuaa??
Mlinganishe na neno tu utapata majibu?
Ilo fundisho la utatu halipo kwenye biblia
Ni imani ya roman na upagani tangu kabla injili haijafika rumi

Mtambu mjumbe wako na ujumbe ambao Mungu ameutuma kwa wakat wako

WILLIAM MARRION BRANHAM
Utatu upp kwenye biblia..nadhsni nilieshi kusoma kwenye Yohana, Yesu alielezea katika moja ya mafundisho yake..
 
ni hivi duniani kote watawala hawako tayari kukueleza ukweli wa mambo.

Ukweli hufichwa.

Ktk hao ukiiwataja hakuna aliyemuona yesu.

Aliyemuona yesu ambae ndie mastermind wa utawala wa wa rumi ni Prof Sauli.

Kwanza alificha kusema yesu alikuja kupingana na utawala wa warumi na alishindwa.

Hakuja kuongea kuwapeleka watu mbinguni pekee, bali alikuja kuuleta watu utawala wa mbinguni waishi kwayo hapa duniani.

Na huyu aliyekuja miaka 600 badae nae alikuja kwa lengo hilo. Kupinga utawala wa kirumi. Na kutaka bali alikuja kuuletea watu utawala wa mbinguni waishi kwayo hapa duniani.

Na utawala huondio ule ubaothibiti uovu na kuhamasisha uadilifu.

Huwezi kufundishwa ukweli huu.

Sasa moja ya mafundisho ya bandia ya Prof alicia Mungu nwenyewe ndie huyu yesu.

Ni disimformation
Utawala wa kirumi ulianguka kabla ya ujio wa Mtume Mohammad s.a.w

Naaeka sawa hili tuu ili facts ziendane.
Asante
 
Huyo Aliyeishi Miaka 600 baadae angalau ameongea Vinavoeleweka Kuhusu Yesu Akina Marko Na Luka Wamedanganya sana Hata Ukisoma Wamepishana masimulizi Yao Mfano Kuhusu vazi la Yesu Wakati Anashurutishwa Kuna Mmoja Anasema Alikuwa Kavaa Vazi la Zambarau Mwengine Kasema Rangi Nyingine Sasa Unajiuliza Hivi Ni Kweli walikuwepo Au Ni Matapeli Tu waliotuzidi Akili
Ukisema kauli kama hii unataja na aya ili tujiridhishe.
Asante
 
Mohamed alimuona Yesu? Quran ina mix mafaili kwamba mama yake Yesu alikua dada wa Aron msaidizi wa Musa. Quran haisemi Yesu alizaliwa wapi,alitokea kabila gani la Israel. Kwenye Quran haijulikani Yesu alikua na wanafunzi wangapi,wala majina yao .
yesu (issa) wa Quran na Yesu wa Biblia ni watu wawili tofauti.

Yesu wa Quran alioa na kuwa na watoto wawili ila Yesu wa Biblia hajaoa, hajazaa wala hajatenda dhambi, maana Dhambi imeanguka mbele yake,

‭1 Yoh 3:5 SUV‬
[5] Nanyi mnajua ya kuwa yeye alidhihirishwa, ili aziondoe dhambi; na dhambi haimo ndani yake.

Yesu wa kwenye Biblia anasamehe dhambi za mwanadamu kwa kila anayemuamini
‭Mt 9:2-8 SUV‬
[2] Na tazama, wakamletea mtu mwenye kupooza, amelala kitandani; naye Yesu, alipoiona imani yao, alimwambia yule mwenye kupooza, Jipe moyo mkuu, mwanangu, umesamehewa dhambi zako. [3] Na tazama, baadhi ya waandishi wakasema nafsini mwao, Huyu anakufuru. [4] Naye Yesu, hali akijua mawazo yao, akasema, Mbona mnawaza maovu mioyoni mwenu? [5] Kwa maana rahisi ni lipi, ni kusema, Umesamehewa dhambi zako, au ni kusema, Ondoka, uende? [6] Lakini mpate kujua ya kwamba Mwana wa Adamu anayo amri duniani ya kusamehe dhambi, (amwambia yule mwenye kupooza) Ondoka, ujitwike kitanda chako, uende nyumbani kwako. [7] Akaondoka, akaenda zake nyumbani kwake. [8] Makutano walipomwona, walishikwa na hofu, wakamtukuza Mungu, aliyewapa watu amri ya namna hii.
 
Niwaambie tuu, maandiko ya kwenye biblia ukichukulia tuu kama kitabu cha kihistoria, utasoma utamaliza, na utajenga dhana unazozijua wewe.

Ila ukikisoma kama kitabu cha falsafa na busara, utagundua kimezidi falsafa zote ulimwenguni

Na ukikisoma kiimani, utagundua kuwa kimezidi imani zote ulimwenguni.

Ukikichukulia kama kitabu cha maarifa (intellectual) kimezidi maarifa yote ulimwenguni.

Hii hata kama hauelewi, we jipe challenge, ya kukisoma kwa minajili ya historia (Mwanzo, Samweli 1,2; Wafalme 1,2; Mambo ya Nyakati 1,2) maarifa, au kuongeza hekima (zaburi, mithali na hata mhubiri) Falsafa za Yesu katika injili (Mathayo, Marko, Luka na yohana)

Nguvu ya imani (Yohana, Matendo ya Mitume, Waebrania)

Asili ya Mwanadamu (Yohana Mt., Mwanzo, n.k)

Vita za kiroho (Ayubu, Waefeso, n.k.)

Kuna mambo mengi sana.

Ukisoma biblia kama gazeti, utajisemea unavyoweza.

Ukisoma kwa imani, kuna mengi ya imani utayajua na kujengeka.

Watu wanaponywa Magonjwa, pepo wanatoka, maarifa yanaongezeka, watawala wanainuliwa, na baraka zinathibitika, ulinzi unaimarika, na kadhalika na kadhalika.


So, kudhihaki kitu au jambo ambalo linanmatokeo chanya na ya kulinda amani, si uamuzi mzuri kwa kweli
 
Mungu baba aliumba wanadamu, Mungu mwana akavaa uhusika wa binadamu na akatuokoa ktk dhambi zetu lkn aliushinda umauti hd akafufuka ktk wafu ndo maana mudi hawez kufufuka maana si lolote na Mungu roho mtakatifu anazidi kutulinda.
Wagalatia hamna akili kabisa kabisa,ukute wewe ni msomi!!
 
ni upotevu wa waziwazi. vilevile,
1. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kuhubiri ukatili, kwamba asiyeuamini uislam achinjwe chingoni,badala ya kumwamini Yesu aliyefundisha upendo na kusamehe adui?

2. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kuamrisha watu wake kuitetea dini au mungu hata kwa jihad na wakifa katika mazingira kama hayo wataenda peponi, badala ya kumwamingi Mungu wa kweli asiyehitaji msaada wa mwanadamu wakati wa kujitetea, kwasababu ukimtetea Mungu manake mungu wako hana nguvu, anahitaji kutetewa na mwanadamu.

3. kwanini nimuamini mtu aliyekuja kudanganya wanadamu kwamba, hata kama ameua katika kutetea hiyo dini au mungu wao, kule ahera atapewa mabikra 72 awe anazini nao muda wote, na ajabu yake hata akizini nao bikra zao haziondoki, manake wanakuwa bikra siku zote, sasa sijui wanazini nao upande upi hadi bikra isiondoke baada ya kuingiliana? NItamwamini Yesu aliyetamka wazi kwamba baada ya maisha haya, miili yetu itabadilishwa na kuwa kama ya malaika, hakutakuwa na kuoa au kuolewa.

4. kuna mengi yanashangaza, ila wengi bado wapo kifungoni, Mungu awasaidie.
Aione Mparee2
 
Back
Top Bottom