kama kawaida mbunge kijana ndugu JJ MNYIKA anaendelea kuanika ''udhaifu'' wa serikali.
kama serikali ina majibu isisite kutoa taarifa kwa umma!!
Tafadhari wana JF naomba haraka sana namba ya simu ya mheshimiwa Myika, ninataka kumpa data za udhaifu mwingine wa wizara ya afya! Haraka sana jamani kabla hajapeleka hiyo hoja binafsi.
Chadema ni rahisi kuandaa bajeti ya harusi si bajeti ya nchi "Ngeleja"