Makinda alishageuza bunge kuwa sehemu ya serikali. Uswaiba wake na waziri mkuu nao ni kero kwa demokrasia lakini ni hatari zaidi kwa CCM maana anapotumia mabavu kuziba hoja muhimu madhara yake anachonganisha ccm na wananchi.
CCM na hasa wabunge wanatakiwa wajiandae kumeza madhara ya ubabe wa Makinda maana ni wao waliosema wanata 'mwanamke' badala ya spika.
Aisee namuadmires sana hon Mnyika kwa ujasiri na kazi zake.
Kweli Jk mnyika.
Chadema ni rahisi kuandaa bajeti ya harusi si bajeti ya nchi "Ngeleja"
Tafadhari wana JF naomba haraka sana namba ya simu ya mheshimiwa Myika, ninataka kumpa data za udhaifu mwingine wa wizara ya afya! Haraka sana jamani kabla hajapeleka hiyo hoja binafsi.