Kwanini Mbowe aligaragazwa vibaya kiasi kile na Lipumba Uchaguzi wa 2005?

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
May 25, 2015
6,487
20,439
Leo nilikuwa napitia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2005. Kwa watoto wa Instagram ambao wamekuta tayari Mbowe anaitwa mwamba ni vigumu sana kuamini kuwa Mbowe aliwahi kupigwa vibaya sana katika uchaguzi wa rais na mgombea mwenzake ndg Lipumba.

Katika uchaguzi huo Mbowe alipata kura asilimia 5 pekee huku Lipumba akipata 11%. Kwa lugha nyepesi ulikuwa unaitaji watu wawili wenye uelewa, uchambuzi wa mambo, ujengaji wa hoja, akili nk ili kumpata Lipumba mmoja.

Swali ninalojiuliza kila siku katika watu wote duniani ilikuwaje Mbowe akapitwa kiasi kile na Lipumba. Sijauliza Kikwete ambaye alipata zaidi ya 80 % ambazo zilimfanya Mbowe kumheshimu sana Kikwete.
 
Leo nilikuwa napitia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2005. Kwa watoto wa Instagram ambao wamekuta tayari Mbowe anaitwa mwamba ni vigumu sana kuamini kuwa Mbowe aliwahi kupigwa vibaya sana katika uchaguzi wa rais na mgombea mwenzake ndg Lipumba...
Kama ingekuwa ni Mtihani,

maana yake waliofanya mtihani miaka hiyo na wakafaulu, sio guarantee kwamba akili bado wanazo mpaka leo.

Vice versa is true.
 
Mbowe,Mbatia, Lyatonga, Cheyo, Zitto na Lipumba wanatofautiana maeneo tu wanayopaswa kucheza kwny Movie ya Siasa za vyama vingi Tanzania iliyoanzishwa 1992

Vijana pambaneni mtoke kwny kuishi maisha ya ufukara badala ya kutegemea sana Wanasiasa

Kwny Kitabu cha Maisha ya Mzee Ally Hassan Mwinyi anasema walipokuwa wanakabiliwa na shiinikizo la Wahafidhina kupinga mfumo wa vyama vingi pia walikuwa wanakabiliwa na shinikizo la nje la kutaka mfumo huo uruhusiwe

Walikutana Ally Hassan Mwinyi, John Samwel Malecela na Gwiji Hayati Kingunge Ngombale Mwiru…Mwiru akawashauri bora waanzishe hilo li mfumo bila ya kusubiri shinikizo kuzidi kwa kuwa watakuwa kwny position nzuri ya kuuratibu na kuukarabati na kuuuendesha kwa 'Maslahi mapana ya Nchi'
 
Leo nilikuwa napitia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2005. Kwa watoto wa Instagram ambao wamekuta tayari Mbowe anaitwa mwamba ni vigumu sana kuamini kuwa Mbowe aliwahi kupigwa vibaya sana katika uchaguzi wa rais na mgombea mwenzake ndg Lipumba...
Jiulize Kwanza ... Hivi kwa nini wewe ulipozaliwa ulikua mtoto kama mtoto wako?

Ukipata jibu liweke hapo kwenye utumbo wako uliouandika kuuliza kuhusu Mbowe
 
Mbowe hakuwahi kupitwa na Lipumba. Kikwete hakuwahi kupata asilimia 80. Everything was staged. Was there, saw it, know it

Sent from my itel W6004P using JamiiForums mobile app
Kuna Watanzania wakitangaziwa matokeo huwa wanaamini.... Hata matokeo ya Mahela na team yake kuna watu wanayaamini pia. Hii ndiyo Tanzania ya CCM. God forbid.
 
Leo nilikuwa napitia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2005. Kwa watoto wa Instagram ambao wamekuta tayari Mbowe anaitwa mwamba ni vigumu sana kuamini kuwa Mbowe aliwahi kupigwa vibaya sana katika uchaguzi wa rais na mgombea mwenzake ndg Lipumba...
2000 chadema waliunga mkono cuf.
2005 cuf wakakataa kuinfa mkono chadema, na kumbuka kura za Uraisi ndio zilikuwa zinaleta ruzuku.
Na chedema mtei na makani waliutaka wote uraisi chama kikapasuka.

Wazee wakamua bwamdogo mbowe agombee ili kurudisha amani chamani.

So readon hapo ni:-
1. Ugeni wa mbowe kwenye siasa, hakujulikana.
2. Lipumba/cuf walikuwa mzoefu na walikuwa na base tsyari ya 2000.
 
Makatibu wakuu wote wamerudi CCM kuanzia Dr Walid Kaburu, Dr Wilbroad Slaa na Dr Mashinji

Wagombea Urais wawili wamerudi CCM

Wakati wa mwenda zake Viongozi wa Chadema waliongoza kwa kuunga mkono Juhudi kuliko chama chochote cha Upinzani

Mwenyekiti wa Taifa wa Baraza la Wanawake Halima Mdee yupo Bungeni na wanawake wenzie 19

Pamoja na gogoro lote la Zitto na Chadema miaka hiyo lakin bado Chadema ilikuwa inapendekeza jina la Zitto kwenda PAC na Wabunge wa CCM wakawa wanabariki pendekezo hilo

Endelea kuamini unayopaswa kuamini kwa kuwa Movie zinaandaliwa kwa ustadi mkubwa sana ili ukiitazama uone kama 'True story'
Hiyo paragraph yako ya mwisho ndio wakazaliwa kina Zitto, Lyatonga, Lipumba, na Mbatia kwa vipindi tofauti.

Chadema pekee ndio bado haijatoa muwakilishi kwenye hilo kundi.
 
Leo nilikuwa napitia matokeo ya uchaguzi mkuu wa 2005. Kwa watoto wa Instagram ambao wamekuta tayari Mbowe anaitwa mwamba ni vigumu sana kuamini kuwa Mbowe aliwahi kupigwa vibaya sana katika uchaguzi wa rais na mgombea mwenzake ndg Lipumba.

Katika uchaguzi huo Mbowe alipata kura asilimia 5 pekee huku Lipumba akipata 11%. Kwa lugha nyepesi ulikuwa unaitaji watu wawili wenye uelewa, uchambuzi wa mambo, ujengaji wa hoja, akili nk ili kumpata Lipumba mmoja.

Swali ninalojiuliza kila siku katika watu wote duniani ilikuwaje Mbowe akapitwa kiasi kile na Lipumba. Sijauliza Kikwete ambaye alipata zaidi ya 80 % ambazo zilimfanya Mbowe kumheshimu sana Kikwete.
mbowe ni kilaza fulani tu pamoja na wanaomuita mwamba nao vilaza wewe kweli wa kupigwa hivyo na haruna? halafu wanatokea wapuuzi fulani wanaita mwamba shame on them
 
Back
Top Bottom