Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #41
Ebu imagine mtu kama Msekwa yuko kwenye sijui bodi gani sijui ila nijuacho iyo bodi inadeal na utalii!
HUyu mtu toka miaka ya 1960 yuko serikalini ana kipi kipya mpaka anaendelea kuwemo.
Ukifuatilia sana bodi ni kwa ajili ya kulipana fadhira na vijiwe vy washikaji wa mkuu wa nchi
msekwa ana pensheni kibao lakini hatosheki