Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,174
- Thread starter
- #21
Waziri - KCU amemsimamisha kazi DG wa Bodi ya Pamba wakati ambao msimu unatakiwa kufunguliwa na bei ya pamba kutangazwa. System ime-paralyse hadi waziri mwenyewe anaonekana hajui cha kufanya. Bodi ilitakiwa kuwajibika kwa kushindwa kumwajibisha DG. Hii serikali sasa ndo inazidi kuwa kichekesho. Wasipostuka sijui km watafka 2015.
[MENTION]WKM[/MENTION] hivi mwenyekiti wa Bodi unamsimamisha au unamwondoa kwani analindwa na sheria ipi ya ajira?