Afyayaakili
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 903
- 1,175
Rainmaker huyo.
Nadhani ulikuwa hunisomi vizuri kama una muda rudia kusoma comments zangu kama uko bize unabeba box basi next time.Hapa sasa ndo umemake sense ila shoppung gami ya kufanya Roma?
Kama alitaka Shopping si angeenda Paris?
Au Dubai?
Rostam ni mshauri wa mambo yake binafsi ya biashara na ndiye aliyempeleka kwa mfalme wa UAE mpaka wakafanya dili la kuwauzia Bandari DpWorld!Inashangaza sana
LABDA👈 👉Mambo ya Biashara.Kama yapi ?
Hapana, hao ni masponser wa Ccm.Hawa ndiyo masponsor wa uchaguzi
Hahaha Haya karibu tubebe wote Mabox mkuuNadhani ulikuwa hunisomi vizuri kama una muda rudia kusoma comment zangu kama uko bize unabeba box basi next time.
Hakuna mfanyabiashara popoma,wapo very smart kichwaniNoma sana. Hapo utakuta yupo kwenye msafara wa Mama mpaka Norway. Na Norway wana kampuni ya Equinor iko bahari ya Mtwara Lindi wanachimba gesi, na wanataka kujenga LNG plant huko kusini. Utakuta na yeye anataka kuweka mkono kwenye mradi wa gesi ya LNG. Jamaa yuko veryvery strategic
Vatican city Ina hadhi ya nchi,lakini si chi,ni tofauti na LesothoUnaijua Lesotho Mkuu..
Lesotho iko ndani Ya SA lakini ni Nchi
Aisee ni noma sana.Hakuna mfanyabiashara popoma,wapo very smart kichwani
Mimi nimejiajiri hapa Tanzania, na kwakweli Vitumbua👈 (my favourite) havikosekani Mezani Asubuhi, Mchana mwema nao nabadilisha Wali na Ugali kwa Vitoweo mbalimbali na Samaki mara moja moja namshukuru Muumba.Hahaha Haya karibu tubebe wote Mabox mkuu
Noma sana. Hata leo Warioba kazungumzia hilo, juu ya Lowassa kukataliwa na Nyerere. Inaonekana Lowassa alikuwa na kitu chenye utata, kwanini Nyerere alimkataa?
View: https://youtu.be/_RJYlVjZJjQ?si=csllIDmQWHFp2ukD
He's a KING MAKER.Huyo na wachache wengine ndio wenye nchi...
Nyerere ndie muasisi wa hili Zimwi.Mpaka Nyerere alikuwa na mashaka, na nec na cc na wao walikuwa na mashaka. Shida ya Lowassa ilikuwa ni ipi?
Jamaa atamla Maza trust me!Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..
Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..
Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Duh!Nyerere ndie muasisi wa hili Zimwi.
Inachosha sana fikra😪🤣🤣🤣Tatizo hata wakifa tayari wanambegu chafu ambazo washaziacha. Makamba yupo makamba Jr Tena ambaye ni nyoko kuliko baba yake. Kikwete yupo kikwete Jr, so usitegemee kufa Kwa wazazi wao ndio unafuu utapatikana. Ili tuamke lazima life liwe ngumu sana ili hata wajinga waamke ili waweze kudai haki.
1 lakwanza lipo kwenye ajira tushaona japo bado maumivu bado hayajachoma mioyo coz bodaboda na bajaji zinasukumasukuma life