Kwanini mara kadhaa alipo Rais Samia huambatana na Rostam Azizi?

JPM alikwenda kufungua Taifa Gas pale Kigamboni na pia Siku au miezi michache kabla ya kifo cha JPM walikuwa pamoja naye pale Morogoro katika ufunguzi wa kiwanda chake kingine !!
Hajawahi kuwa mbali na Head of State yeyote tangu kwa hayati Mkapa na wote waliofuata baadaye !
Jamaa anajua kuzichanga karata zake vizuri


Vipi ukigundua nae ni mwanasesere Kama wengine tu?


“Mtumwa hakosi alama.
 
Tetesi zinasema Rostam ndio amechonga deal la mama kuweza kutua Vatican ili kuonana na Papa. Ni mama alikuwa anaitafuta hiyo fursa kwa hali na mali ili kutengeneza deal la kanisa katoliki kumbeba mama 2025 kwenye urais.
Kwa kuwa sote tunajua, presha iliyopo ndani ya system (lile genge la kututengenezea viongozi) ya kutaka kumuondoa mama 2025 ni kubwa kupita maelezo. Hivyo kila njia mbadala itakayoletwa mezani kwa mama inabidi aipokee tu.




Huu ni Uwongo.
 
Mburushi wa Iran huyo. Sema waarabu wa Igunga, Bukene, ukenyenge wanakijua kisukuma na walishaassimilate. Sema ni ili malengo yao ya kibiashara yatimie.
Ngosha huyu....Kuna miaka tulikula sana hela zake huyu jamaa....hana baya.
 
Kwenye kupiga mziki wa viwango huwa kuna DJ, disk, mixer na speaker. Hiyo mixer ndio huyo Rostam sasa na speaker ni Saa100. Ili speaker ipige mziki anaoutaka DJ lazima mixer ifanye kazi yake vyema.
 
Nawasalimu..
MIMI NI MZALENDO..
Tumeshuhudia Safari nyingi za Rais Samia Za nje ya nchi zote Rostam lazma awepo iwe safari ya India au zingine zote..

Leo Rostam kaingia live kuelezea Kuhusu Lowassa cha ajabu Location Yake inasoma VATICAN wakati huo Rais na yeye akiwa huko..

Kwani Rostam Yeye huko Kwemye Jopo la Rais Ana cheo gani?
View attachment 2902047
Rostam ni mfanyabiashara mkubwa hivyo kufuatana na Rais ni moja ya fursa
 
Rostam Aziz mutu ya deal fursa kubwa kubwa, huulizwa maswali yanayofungua milango migumu ya baadhi ya nchi zenye kulinda sana wafanyabishara wa kiTanzania wasipewe leseni, lakini Rostam Aziz atasema hiyo siyo sawa Tanzania milango ipo wazi lakini yenu hamtaki kuwafungulia wafanyabiashara wa kutoka Tanzania .... kama katika msafara huu mmoja atupa swali gumu kwa watendaji wa nchi moja ya nje


View: https://m.youtube.com/watch?v=FR-ewkpb0HE
 
Aseme tu kua alinunua amani na Magufuli kwa kumrudisha Lowassa CCM ili Magufuli abariki mradi wa Taifa Gas na kumpa uhuru wa miradi yake Rostam.

Rostam akamrudisha Lowassa,akawapa CCM Channel Ten na Magic FM kama nyongeza
Sii kwambaa Rostam alirudi Tz baada ya ile kesi uchwara ya mdogo wake ya ujangili!?
 
Watu nje ya serikali kama kina Rostam, John Ulanga n.k huwa ni lulu katika kuelezea mafanikio fursa na mazingira ya uwekezaji kuliko mangi-meza maofisa wa juu wa serikali warasimu

Mfano Mr. John Ulanga, alipokuwa CEO of Tanzania Private Sector Foundation (TPSF) akitoa muhadhara


View: https://m.youtube.com/watch?v=AcmZIsqnFsU
 
Back
Top Bottom