Tangu janga la mafuriko kwa wakazi wa mabondeni litokee watu mbalimbali, taasisi za serikali na kampuni binafsi zimekuwa zikitoa misaada mbalimbali kwa waathirika hao. Katika kutazama kwangu uko sijaona/sijabahatika kuona makanisa yakitoa msaada. Nataka kufahamu kwanini makanisa ni magumu katika kutoa misaada.