TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 4,917
- 15,071
Huna lolote! Ungekuwa RC kama unavyojisingizia, ungejua ngazi mbalimbali za misaada kuanzia unapoishi hadi kwenye ngazi ya taifa.
Wewe siyo RC wala siyo mkristo na bahati mbaya sana huna hata akili ya kufanya utafiti kidogo ukajua kanisa linavyofanya kazi ndipo utunge hiki ulichotunga.
Wewe ambaye ni mkristo, mwenye 'akili' na ambae umefanya utafiti, hebu tuambie kanisa limetoa wapi msaada? Na ujue kutofautisha msaada na huduma. Mimi nimesema, kwenye jamii ninayoishi SIJAONA WALA KUSIKIA kanisa limetoa msaada.