Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,836
Mimi ni mwananchi wa Tanzania ninataka kujua sababu za Marando kupokelewa CHADEMA. Hivi tuseme viongozi wa CHADEMA hawako makini? maana huyu mtu alikuwa NCCR na akasadikika kuwa ni shushu wa CCM, na wengi wa viongozi wa CHADEMA walisema hilo.
Mimi ninataka kuelewa kwann Marando yuko CHADEMA na amepewa nyazifa za juu?
Mimi ninataka kuelewa kwann Marando yuko CHADEMA na amepewa nyazifa za juu?