wasaimon
R I P
- Oct 6, 2010
- 220
- 45
Anawezakuwa anafaa lakini kwani watz tuko wangapi? Kama tuko zaidi ya mil 40 basi yeye ndo anafaa pekee katika watz wote kuwa kiongozi we2? Nadhani ifike mahali sisi watz tuache kufanya kazi kwa mazoea, jamani wako wengi wanafaa kuongoza nchi hii akiwemo na EL lakini kwake yeye tayari alikwishajikwaa kisiasa hivyo basi vyema tukamshukuru kwa kazi zake na pia katika watz mil 40 atafutwe aliemsafi, asie na doa ndio apewe uongozi, tunamshukuru EL kwa kazi nzuri alizotufanyia watz ingawa ilikuwa ni sehemu ya wajibu wake kwani kazi hiyo alipewa na akapaaka kuitumia vyema na Mungu ambariki kwa kufanya kwa kiwango chake. Vyema basi tukajiuliza ni nani asie na doa ndie tumkabidhi nchi na si kupigiana debe kusiko kuwa na maana. Hongera EL kwa kazi nzuri na Mungu akubariki na ingekuwa vyema kama ungebaki kuwa mzee wa ushauri kama mawaziri wakuu wenzio waliopita. Nawakilisha
saggy
saggy
Last edited by a moderator: