Wote hawatufai. Tanzania deserves better.ll go for Lowassa kuliko Pinda
Mkuu Zipo, Rais Mwinyi aliwahi kusema kila zama na kitabu chake, kitabu cha zama za Lowasa tumeshamaliza, tunakaribia kumaliza na cha Pinda.
Jamani, post za kila siku kutaka kumsafisha EL nyie hamjui kuwa mnazidi kumharibia? Maji yamechafuka, wala hayajatulia, nyie mnazidi kumtumbukiza humo kwa madai kwamba mnataka kumsafisha?
Ndugu Zipompapompa, kwa ridhaa yako naomba kujibu swali lako lenye kipengele hicho hapo juu kama ifuatavyo.NAPENDA KUULIZA, JE NI KWELI MZIGO WOTE WA UFISADI NA UBAYA WOTE UNAOTENDEKA TANZANIA LOWASA NDIO TOP OF ALL???
mbona kuna wengine wazuri tuu........ au kura za maoni zimeanza??????ll go for Lowassa kuliko Pinda
WATANZANIA WENZANGU HEBU TUACHE USHABIKI HALAFU TURUDI KATIKA UKWELI NA UWAZI,
KAMA NI KUCHAFULIWA NA KUONEWA MHESHIMIWA EDWARD LOWASA AMEONEWA NA KUCHAFULIWA SANA,
LAKINI NAPENDA KUULIZA, JE NI KWELI MZIGO WOTE WA UFISADI NA UBAYA WOTE UNAOTENDEKA TANZANIA LOWASA NDIO TOP OF ALL???
LEO HII KILA UNAPOPITA, HATA UKIMUITA MTOTO WA DARASA LA 4 UKAMUULIZA UNAMJUA FISADI, ATAKUAMBIA LOWASA.
BINAFSI NAKUMBUKA JINSI AMBAVYO ALISIMAMIA KIDETE SUALA LA UANZISHWAJI WA SHULE ZA SEKONDARI KILA KATA, JAPO HAZIKUPATA MAFANIKIO MAKUBWA BUT KWA KIASI KIKUBWA LIMEPUNGUZA WIMBI LA VIBAKA NA MATEJA KWANI VIJANA WETU WANAOMALIZA LA SABA WANAINGIA SEKONDARI KWA WINGI.
VILE VILE NAKUMBUKA KABISA KWAMBA NAMBA MUHIMU ILIYOPIGIA DEBE UANZISHWAJI WA CHUO CHA DODOMA NI HUYU HUYU LOWASA.
JE UNAWEZA UKAMLINGANISHA EDWARD LOWASA NA MIZENGO PINDA? PINDA ALIRUDISHA GARI ALIYONUNULIWA ILI AONEKANE NI KWELI NI MTOTO WA MKULIMA, LAKINI HAPO HAPO TUNAAMBIA ANAENDA JIMBONI NA MSAFARA WA MAGARI 50.
NAKUMBUKA NIDHAMU YA KAZI ENZI ZA LOWASA, JAMAA UKISIKIA ANATEMBELEA WIZARA FULANI, LAZIMA WATU WAWEKE ADABU KWA SABABU WANAJUA HATAKI MCHEZO KATIKA KAZI.
SASA NAULIZA JE NI LOWASA ANASTAHILI KUHUKUMIWA KILA KONA KWAMBA YEYE NI FISADI? KWA NINI VIONGOZI WENGINE KAMA KIKWETE, MKAPA, MSABAHA, KARAMAGI ETC, HAWASHIKIWI BANGO KAMA ANAVYOSHIKIWA LOWASA?
KIPINDI KILE ALISEMA BUNGENI "TATIZO NI UWAZIRI MKUU" JE NA SASA TUSEME "TATIZO NI URAISI" ???
!!!tafakari!!! :A S 114:
Nakumbuka Spika six alitamka "Mungu akitaka kukuangamiza wakati mwingine anakunyima nuru". Inaelekea EL na wafuasi wake wamenyimwa nuru ya kutambua zama zao zilishapita.Wanachofanya sasa ni kulazimisha, matokeo yake wataadhirika zaidi ya sasa. Katibu wa CCM,Mukama ameshasema CCM hairudi nyuma kuvuana magamba. Bora akamuulize Mukama kwa nini EL ni gamba? Pili uko serikalini EL amesahau nini ambacho wananchi hatukijui mpaka alazimishe kurudi? Kwa kifupi EL hafai kwa nafasi yoyote ndani ya serikali. Mpeni ushauri atulie aendeshe biashara zake.
Unaposema tuache ushabiki na turudi ktk ukweli na uwazi una maana gani? Hebu tueleze vizuri, Edward Lowassa ameonewa nini na nani aliyemuonea? Amechafuliwaje? Chuo Kikuu cha Dodoma ni mpango wa JK, na sio Lowassa. Una uhakika kuwa Waziri Mkuu Pinda akienda jimboni huwa anakuwa na msafara wa magari 50? Hebu tueleze magari yote hayo ni ya nini? Tatizo sio Uwaziri Mkuu wala Urais, tatizo ni TABIA zake.
huyo mchapa kazi hana ubaya wowote ule ni mtu safi tu. ni mtu ambaye anafaa kutuongoza baada ya jk kumaliza muda wake, apewe nafasi huyu mtu kuna baazi wa ya watu ndani ya CCM wanamuone tu. ila mungu atamleta juu tena very soon.
Siyo kwamba Lowassa ndiye chanzo cha ufisadi. Yeye na mapacha wenzake ni ishara (symbol) ya uchafu/uovu uliyoikumba nchi. Kwa uelewa wangu CCM waliposema wanataka kujivua gamba hawakumaanisha Lowassa, Chenge na RA peke yao. Gamba linapaswa kuvuliwa kutoka chini kabisa mpaka kitaifa. Kila ngazi ya CCM (na serikali yake) ni tatizo na mzigo kwa wananchi. Kama wanao uwezo na utashi wa kufanya hivyo mimi sijui. Mpaka sasa hawajatupa sababu ya kuamini kuwa wanao uwezo au utashi. Lakini huwezi kumsafisha Lowassa kwa kigezo tu cha kuwa mchapakazi. Hizo shule za kata nao ulikuwa ni mpango wa kifisadi. Kwa sababu pesa nyingi zilitumika lakini matokeo ni hovyo kabisa. Tulichotaka siyo quantity bali quality.
Kwa kuwa wote tunamwamini Mungu, basi tujitahidi kukesha tukiomba mazuri yatokee ktk nchi yetu. Lowasa HAFAI ktk mchakato wa mazuri tunayoyatarajia.
Waulize walioko Keko kama wote kweli ni wakosaji.
Lowasa alishindwa kujitetea mwenyewe Bungeni miaka iliyopita, leo hii ndo unajitokeza kuuliza ubaya wake!
Mushaurini arudi AICC, kwani mpaka arudi kuwa waziri mkuu?
mzee kwenye red hapo unauhakika amepunguza au ameongeza wimbim la vijana wazurulaji wale vijana laki nne waliofeli mtihani wa kidato cha nne mwaka jana wataenda wapi?Lowasa ametuletea shida kwa sababu sio shule tena hizo ni vituo vya kukuza watoto baada ya kumaliza elimu ya msingiWATANZANIA WENZANGU HEBU TUACHE USHABIKI HALAFU TURUDI KATIKA UKWELI NA UWAZI,
KAMA NI KUCHAFULIWA NA KUONEWA MHESHIMIWA EDWARD LOWASA AMEONEWA NA KUCHAFULIWA SANA,
LAKINI NAPENDA KUULIZA, JE NI KWELI MZIGO WOTE WA UFISADI NA UBAYA WOTE UNAOTENDEKA TANZANIA LOWASA NDIO TOP OF ALL???
LEO HII KILA UNAPOPITA, HATA UKIMUITA MTOTO WA DARASA LA 4 UKAMUULIZA UNAMJUA FISADI, ATAKUAMBIA LOWASA.
BINAFSI NAKUMBUKA JINSI AMBAVYO ALISIMAMIA KIDETE SUALA LA UANZISHWAJI WA SHULE ZA SEKONDARI KILA KATA, JAPO HAZIKUPATA MAFANIKIO MAKUBWA BUT KWA KIASI KIKUBWA LIMEPUNGUZA WIMBI LA VIBAKA NA MATEJA KWANI VIJANA WETU WANAOMALIZA LA SABA WANAINGIA SEKONDARI KWA WINGI.
VILE VILE NAKUMBUKA KABISA KWAMBA NAMBA MUHIMU ILIYOPIGIA DEBE UANZISHWAJI WA CHUO CHA DODOMA NI HUYU HUYU LOWASA.
JE UNAWEZA UKAMLINGANISHA EDWARD LOWASA NA MIZENGO PINDA? PINDA ALIRUDISHA GARI ALIYONUNULIWA ILI AONEKANE NI KWELI NI MTOTO WA MKULIMA, LAKINI HAPO HAPO TUNAAMBIA ANAENDA JIMBONI NA MSAFARA WA MAGARI 50.
NAKUMBUKA NIDHAMU YA KAZI ENZI ZA LOWASA, JAMAA UKISIKIA ANATEMBELEA WIZARA FULANI, LAZIMA WATU WAWEKE ADABU KWA SABABU WANAJUA HATAKI MCHEZO KATIKA KAZI.
SASA NAULIZA JE NI LOWASA ANASTAHILI KUHUKUMIWA KILA KONA KWAMBA YEYE NI FISADI? KWA NINI VIONGOZI WENGINE KAMA KIKWETE, MKAPA, MSABAHA, KARAMAGI ETC, HAWASHIKIWI BANGO KAMA ANAVYOSHIKIWA LOWASA?
KIPINDI KILE ALISEMA BUNGENI "TATIZO NI UWAZIRI MKUU" JE NA SASA TUSEME "TATIZO NI URAISI" ???
!!!tafakari!!! :A S 114: