Eng.Livingstone
JF-Expert Member
- Aug 29, 2013
- 880
- 227
Katika hali niliyoitafusiri kama kuchanganyikiwa leo magufuli katoa tena mpya jangwani baada ya kumwambia Rais Kikwete.Nasema wazi, Mheshimiwa Rais Kikwete unisamehe. Uliweka baadhi ya watu madarakani ambao walituchelewesha kwenda mbele
Nimejiuliza huyu mtu naweza kuwa Rais kweli.Huku akijisibu serekali ya JK imefanya makubwa,Huku anakiri maendeleo yamecheleweshwa kwa uteuzi mbovu wa JK
Huyu mtu ni wa kuangalia mara mbili mbili,La sivyo tutazamisha taifa
Nimejiuliza huyu mtu naweza kuwa Rais kweli.Huku akijisibu serekali ya JK imefanya makubwa,Huku anakiri maendeleo yamecheleweshwa kwa uteuzi mbovu wa JK
Huyu mtu ni wa kuangalia mara mbili mbili,La sivyo tutazamisha taifa