Kwanini Kenya ni maarufu kuliko nchi nyingi za Afrika

Angalia vipaji vya riadha vile vile vilivyopo Kenya Tanzania vipo, ila mafanikio ya riadha Kenya ni tofautibkabisa na Tanzania.

Tanzania figisu za kisiasa nyingi sana. Kenya wenzetu wanapeana fursa na michongo.
Hapa Mwisho umepigilia msumali wa moto
 
Hivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana

Katika bara letu la AFRICA?

Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana

Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?

Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.

WHY KENYA?
Nchi kubwa iliyotawaliwa na Muingereza Afrika ya Mashariki. Na ndio makao makuu ya Mwingereza
 
Wewe umetoka na bile yako ya Nairobi vs Dar ukaleta huku. Angalia watanzania wenzako wasiokuwa na uzalendo bandia (blind patriotism) wanavyochangia humu. Take this bile away. Hapa tunaongea pasi na uzalendo

Please Please Please!!!
Stop attacking me. Attack the facts.
 
Hawana wanachotuzidi kuna maeneo huko Kenya ukienda mpaka leo network hakuna mtandao haukamati inakulazimisha upande gari zaidi ya kilometres 20 ndio unaenda kupata mtandao Ila hilo TZ hakuna Jambo km hilo network kila unapoenda IPO, kwenye michezo the same hakuna wanachotuzidi labda uongozi tu TZ figisu nyingi riadha kuna wanariadha wazuri hapa Ila figisu figisu nyingi wanaishia kuozea kwenye mabanda ya kubet na vipaji vyao hadi wanakufa masikini

Ukija kwenye Muziki huko ndio kabisa wanamuziki wa TZ ndio masupastar wa kubwa wa Kenya, kwa hio hakuna wanachotuzidi labda kutoa rais wa Dunia ya kwanza kutoka Kabila la Wajaluo hapo ndio wanaweza sema aisee tumewapiga bao
Hii sio kweli, Tanzania kuna maeneo mengi tu hamna mitandao ya simu, hata ukipanda tu basi kutoka Dar kwenda Mwanza humo njiani kuna maeneo ambayo mitandao ni shida.
 
1.Michezo (tiadha)
2.Wachapakazi (hasa usimamizi wa biashara/miradi)
3.Wana uzalendo haswa japo ukabila hauondoi uzalendo walionao kwa nchi yao
 
Hawana wanachotuzidi kuna maeneo huko Kenya ukienda mpaka leo network hakuna mtandao haukamati inakulazimisha upande gari zaidi ya kilometres 20 ndio unaenda kupata mtandao Ila hilo TZ hakuna Jambo km hilo network kila unapoenda IPO, kwenye michezo the same hakuna wanachotuzidi labda uongozi tu TZ figisu nyingi riadha kuna wanariadha wazuri hapa Ila figisu figisu nyingi wanaishia kuozea kwenye mabanda ya kubet na vipaji vyao hadi wanakufa masikini

Ukija kwenye Muziki huko ndio kabisa wanamuziki wa TZ ndio masupastar wa kubwa wa Kenya, kwa hio hakuna wanachotuzidi labda kutoa rais wa Dunia ya kwanza kutoka Kabila la Wajaluo hapo ndio wanaweza sema aisee tumewapiga bao
I beg to differ ,Kenya hata vijijini mtandao upo strong.ila tz Arusha na dodoma katikati Hamna network I swear.
 
Hivi kwanini KENYA ni maarufu kuliko nchi nyingi sana

Katika bara letu la AFRICA?

Yani ni vitu gani.....vinaifanya KENYA..ijulikane sana

Kuliko nchi nyingine nyingi za ukanda huu wa AFRICA?

Sahau kuhusu the issue of WILDLIFE.

WHY KENYA?
Nchi zipi hizo?
 
Back
Top Bottom