mrangi
JF-Expert Member
- Feb 19, 2014
- 81,219
- 106,783
Nakuambia tunazidiana vitu flanflani....wakenya kuna mambo tunawazidi na wao kuna mambo wanatuzidi... Lakini tukubaliane kwamba pamoja na kwamba kuna mambo fulani fulani tunashabihiana lkn ukweli uko palepale kwamba huwezi kuwalinganisha watanzania na wakenya katika maswala ya kujitambua kwa watu.
Kuna mambo kenya yana nafuu kwa tz na kuna mambo tz yana nafuu kwa kenya
Ova