Kwanini jk anafaa kuiongoza tz kwa awamu ya pili?

MtazamoWangu

JF-Expert Member
Apr 25, 2009
313
7
mengi yamesemwa kuhusu JK kutofaa kwa awamu nyingine, lakni ni kweli hakuna yale mazuri yanayoturuhusu tumpe awamu ya pili?? katika hili naomba tuchambue zile sababu haswa zinazoshawishi JK apate awamu ya pili....

1. mengi ya yale yanayoonekana hajayachukulia hatua ni mambo yaliyotokea wakati wa awamu nyingine, na katika kuweka usalama wa Taifa mbele na amani tuliyonayo JK amtumia busara kutofanya pupa, maana angejaza maadui na kuleta mzozo wa kisiasa nchini, mfano ni suala la Richmond, toka limeongewa na kuchukuliwa limeleta matatizo mengi ya kisiasa na hata umoja wetu umeanza kudhoofika na CCM pia imegawanyka kwa hili....

2. nia nzuri aliyokuwa nayo kuhusu kutokomezwa rushwa na kuhakikisha wale viongozi anaoingia madarakani kwa fedha wanakosa nafasi, na hili ni pamoja na kulet utaratibu wa kuwapata wagombea ndani ya chama cha CCM, na pamaja na sheria ya gharama za uchaguzi.....

3.....

4......

yapo mengi tukumbushane tuache unafiki....
 
Huo ni mtazama wako na pia na watu wake hivyo ukimuliza Lipumba hatakwambia hafai na watu wengine binadamu wote wapi rational katika maamuzi mengi sana
 
Una uhakika kwamba hafanyi hivyo for his best interest (ku-control pesa za uchaguzi)!?

Kwa kifupi nina SHAKA
 
Mutu huyu bwana anafanya hayo kwa his best interest na ndio maan ameng'ang'ania sheria ya gharama za uchaguzi kwani wakati wa kuingia hayo anayoyapinga si yalifanyika kupitia Kagoda,Meremeta etc.
 
hafai hata kungoza mtaaa sembuse nnchi....taifa la hili linawatu ambao siku wakiamka hawa kina JK watajikuta wanalima mananasi kule kwao Chalinze..
 
(3) Anafaa tu kupewa awamu nyingine kwa sababu, tume ya uchaguzi sii huru, asilimia 70 ya waTz ni wafuata upepo, watz wengi hawajui ni kwa nini wanapiga kura hasa vijijini, kama rais amehodhi madaraka mkubwa mno na mengine kama hayo. SII VINGINEVYO!
 
mengi yamesemwa kuhusu JK kutofaa kwa awamu nyingine, lakni ni kweli hakuna yale mazuri yanayoturuhusu tumpe awamu ya pili?? katika hili naomba tuchambue zile sababu haswa zinazoshawishi JK apate awamu ya pili....

1. mengi ya yale yanayoonekana hajayachukulia hatua ni mambo yaliyotokea wakati wa awamu nyingine, na katika kuweka usalama wa Taifa mbele na amani tuliyonayo JK amtumia busara kutofanya pupa, maana angejaza maadui na kuleta mzozo wa kisiasa nchini, mfano ni suala la Richmond, toka limeongewa na kuchukuliwa limeleta matatizo mengi ya kisiasa na hata umoja wetu umeanza kudhoofika na CCM pia imegawanyka kwa hili....

2. nia nzuri aliyokuwa nayo kuhusu kutokomezwa rushwa na kuhakikisha wale viongozi anaoingia madarakani kwa fedha wanakosa nafasi, na hili ni pamoja na kulet utaratibu wa kuwapata wagombea ndani ya chama cha CCM, na pamaja na sheria ya gharama za uchaguzi.....

3.....

4......

yapo mengi tukumbushane tuache unafiki....

Ndugu nafikiri kuna mambo ya msingi hujaweza kuyatazama
1. Uraisi ni taasisi na si ofisi binafsi kama aliyonayo mkewe (WAMA). Ikitokea JK hawi raisi, akatoke 1st lady mwingine si lazima aendeleze wama. atakuja na yake. Lakini issue ya Uraisi ni continuous, yaliyotokea uongozi uliopita anayabeba na Kimsingi lazima awajibike. kama anapokea seifa kwa yaliyofanyika awamu iliyopita, na lawa,a zinamhusu pia. Leo hii, kwa mfano, Obama hawezi kukana kushughulikia swala la majeshi Iraq kwa madai hayakutokea uongozi wake.

2. Hilo swala la Richmond limetokea katika uongozi wake. analifahamu vyema.

3. Kama kuna matatizo yoyote yaliyoletwa na Richmond, wakulaumiwa ni yeye kwa kutolishughulikia ipasayyo badala yake, kama alivyofanya kwa EPA, anakubali kufunika kombe mwanaharamu apite!

4. Ndugu, watu wakifanya upuuzi waachwe kwa hofu ya kuleta maadui na kuogopa mzozo wa kisiasa!!!!!!??????? nchi gani umeona wanafanya hivyo? ni Tanzania pekee maana China wana historia nzuri tuu, waulize. Hivyo basi mkuu hana sababu kwa nini aendelee tena
 
mengi yamesemwa kuhusu JK kutofaa kwa awamu nyingine, lakni ni kweli hakuna yale mazuri yanayoturuhusu tumpe awamu ya pili?? katika hili naomba tuchambue zile sababu haswa zinazoshawishi JK apate awamu ya pili....

1.mengi ya yale yanayoonekana hajayachukulia hatua ni mambo yaliyotokea wakati wa awamu nyingine, na katika kuweka usalama wa Taifa mbele na amani tuliyonayo JK amtumia busara kutofanya pupa, maana angejaza maadui na kuleta mzozo wa kisiasa nchini, mfano ni suala la Richmond, toka limeongewa na kuchukuliwa limeleta matatizo mengi ya kisiasa na hata umoja wetu umeanza kudhoofika na CCM pia imegawanyka kwa hili...
1. hivi kuwatetea mafisadi ni kurinda usalama wa nchi?
2. je hasira za wananchi zikiibuka juu ya uamuzi wake wa kuwalinda mafisadi ataweza kuzizuia?
3 .Inamaana kikwete tumpe kura tena kwa sababu ni mrinzi mzuri wa mafisadi?
4 .sasa unafiki wake wa kujifanya anapambana na rushwa una maana gani kama hawachukulii hatua?
 
je ameleta maendeleo? mi naona ameharibu uchumi ambao mkapa aliujenga vizuri sasa hivi vurugu tupu ngoja tuona. uzuri kura ni ya siri kwa hiyo mambo kwenye kutumia vizuri kura zetu tu
 
Back
Top Bottom