FirstLady1
JF-Expert Member
- Jul 29, 2009
- 16,792
- 5,375
- Thread starter
- #81
Kutoka mwanzo mi naona mawazo yangu yapo tofauti na wachangiaji wengi hapa...
Mdada alifanya vizuri kutomweleza mapema. Angemueleza mapema kuna uwezekano jamaa angesepa mapema. But 'usiri' wake umemwezesha kuenjoy mapenzi kwa miaka 5. Something is better than nothing jamani, na tusijidanganye kwa miaka 5 walikuwa wanaandaa kuishi pamoja baadae, no walikuwa wanaenjoy life, kama wapenzi... Pia, kwa kumkawiza jamaa kusepa, amempa jamaa nafasi ya kumjua kiundani zaidi. Probably kama M ana positives nyingine, huyu jamaa frustrations zikiisha atakumbuka na chance ya kurudi ni kubwa. Angesepa mapema, asinge-learn kitu chochote positive kwa huyu M na probability ya kurudi ingekuwa zero.
Niseme tu kwamba, huyu dada kuona kama kuwa na mtoto ni anguko, inategemea na vision ya maisha yake. Kwa kweli kwa mdada ambaye anadream kuishi maisha ya ndoa, kupata mtoto na mtu ambaye hakumuoa, ni disaster kwa dream yake...
Asante@Tuko
mie na imani kama huyo ndo future husband wake atarudi
lakini kama sio basi tena ndo hivo ....