Song of Solomon
JF-Expert Member
- Aug 5, 2021
- 2,733
- 5,490
Ya kale Ni dhahabu ndiyo kitu ninachoweza kusema, Kwenye ndimi za waliotutangulia Basi Kuna hekima ndani yake.
Miaka iliyopita wazazi wetu walikuwa wao ndiyo wanapendekeza mtoto wao wa kiume Ni msichana gani amuoe, na walikuwa hawapendekezi tu Ila ukiona amependekezwa msichana Basi ujue amechunguzwa muda mrefu Sana na wamejiridhisha kuhusu mienendo na tabia zake.
Na walikuwa wanafanya hivyo kwa sababu muda mwingi mtoto wa kiume unakuta yuko shule muda mrefu hivyo kwake inakuwa ngumu kujua yupi aliye na tabia na mienendo mizuri.
Tuachane na hayo maana hapa nataka nije kuelezea kwa kina Sana sijui Kama wazee wetu walilijua Hili au kulikuwa Kuna kingine tofauti na hiki walikuwa wanakiangalia.
Manii ya kiume Ni ya thamani Sana zaidi ya kimiminika Cha kawaida, Haya ndiyo yamebeba taarifa zote za kijenetiki.
Hii inamaanisha kwamba pale mwanaume anapoacha mbegu zake kwa mwanamke anakuwa ameacha DNA zake ambazo zitahifadhiwa kwa mwanamke, Na Kama ikitokea mwanamke akapata ujauzito Basi hizi DNA zinaanza kuwa shared Sasa, Na ikitokea ujauzito ukatoka au ukatolewa Basi hizi taarifa zinaendelea kuhifadhiwa kwa mwanamke.
Wanasayansi hii kitu wanaiita phenomena MICROCHIMERISM, Mfano mwanamke kadri anapofanya tendo la ndoa kwa wingi na mwanaume zile DNA zake hubadirika na kuanza kuiga baadhi ya Mambo ya Yule mwanaume,Na hii ndiyo sababu pale watu wanapokuwa muda mrefu kwenye MAHUSIANO mwishowe hufanana kabisa, mpaka unajiuliza Hawa Ni mke na mume au Kaka na dada.
Mfano mwingine Ni pale mwanamke anapokuwa amejihusisha kingono na wanaume wengi, hivyo ndani yake kunakuwa Kuna DNA za wanaume wengi, hivyo ataanza KUBADIRIKA kuanzia tabia mpaka mienendo, kwa sababu tayari cell zake zimebeba taarifa za watu mchanganyiko.
Hapa utaona pia hata wale wanaojiuza wanakuwa na tabia tofauti tofauti Ni kwa sababu hii ya kufanya ngono na wanaume tofauti tofauti na kupelekea kubeba taarifa za watu tofauti tofauti.
Hii ndiyo kwa wale watu ambao wako kwenye masuala ya kiroho wanasema kwamba mwanamke akitendembea na wanaume tofauti tofauti Kuna Roho za wale wanaume anakuwa anazibeba na zitaanza kumpelekesha.
Mfano mwingine ambao sikupenda niuweke Ila Sina budi kuuweka Ni pale unashangaa kwenye familia yenu Kuna mtoto ambaye yeye Yuko tofauti kabisa na wengine kitabia, mpaka mzazi unajiuliza huyu hii tabia kaichukua wapi wakati kwenye Koo za mama na baba hakuna mwenye tabia hiyo.
Ukweli Ni kwamba mwanamke anahifadhi DNA za kila mwanaume aliyeshiriku naye tendo na hii kupelekea cells zingine kuingiliana pale mwanamke anapobeba ujauzito hat Kama ujauzito kapewa na mwingine. Yaani hapa namaanisha Kama umeoa na Ni wewe ndiyo uliyempa mke wako ujauzito lakini Kama mke wako aliwahi kulala na wanaume wengine Basi kunauwezekano mkubwa pia wa zile cells za wanaume waliopita kuingia kwenye uzao wako pia.
Hii inavutia si ndiyo au inachanganya, vipi nimeiweka mapema Sana au nimechelewa kuileta nondo hii.
Lakini pia Kama mwanamke wako anapenda kuimba kwa kutumia maiki/koni na ikatokea
amefanya hivyo kwa mwanaume mwingine na mchuzi wa koni ukaingia mdomoni hii Ni mbaya Sana, Kwa sababu Kama manii yakiingia mdomoni, yanaenda mpaka kwenye maeneo ya nasal( kisehemu Fulani hivi kipo maeneo ya pua kwa ndani, au nyuma ya macho na masikio), Kisha yanaingia kwenye mkondo wa damu na mwishowe yanaenda kujikusanya kwenye ubongo na kutiririka mpaka kwenye uti wa mgongo na hapo yanakuwa Ni sehemu ya huyo mwanamke milele.
Sasa jaribu kufikilia umempata mke ambaye siyo bikra, inamaanisha Ana DNA za mwanaume au wanaume wengine kwenye ubongo na uti wa mgongo wake, na kitakachotokea hizo DNA zao zinaenda kuwa sehemu za watoto wako.
Na hii ndiyo sababu wazazi wetu walituhusia tuoe wale ambao Ni mabikra na hii ndiyo sababu katika baadhi y jamii ukimtoa mwanamke bikra hata Kama Ni bahati mbaya Basi utake usitake huyo ndiyo anakuwa mke wako.
Ahsante.
Tutaona wakati mwingine.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app
Miaka iliyopita wazazi wetu walikuwa wao ndiyo wanapendekeza mtoto wao wa kiume Ni msichana gani amuoe, na walikuwa hawapendekezi tu Ila ukiona amependekezwa msichana Basi ujue amechunguzwa muda mrefu Sana na wamejiridhisha kuhusu mienendo na tabia zake.
Na walikuwa wanafanya hivyo kwa sababu muda mwingi mtoto wa kiume unakuta yuko shule muda mrefu hivyo kwake inakuwa ngumu kujua yupi aliye na tabia na mienendo mizuri.
Tuachane na hayo maana hapa nataka nije kuelezea kwa kina Sana sijui Kama wazee wetu walilijua Hili au kulikuwa Kuna kingine tofauti na hiki walikuwa wanakiangalia.
Manii ya kiume Ni ya thamani Sana zaidi ya kimiminika Cha kawaida, Haya ndiyo yamebeba taarifa zote za kijenetiki.
Hii inamaanisha kwamba pale mwanaume anapoacha mbegu zake kwa mwanamke anakuwa ameacha DNA zake ambazo zitahifadhiwa kwa mwanamke, Na Kama ikitokea mwanamke akapata ujauzito Basi hizi DNA zinaanza kuwa shared Sasa, Na ikitokea ujauzito ukatoka au ukatolewa Basi hizi taarifa zinaendelea kuhifadhiwa kwa mwanamke.
Wanasayansi hii kitu wanaiita phenomena MICROCHIMERISM, Mfano mwanamke kadri anapofanya tendo la ndoa kwa wingi na mwanaume zile DNA zake hubadirika na kuanza kuiga baadhi ya Mambo ya Yule mwanaume,Na hii ndiyo sababu pale watu wanapokuwa muda mrefu kwenye MAHUSIANO mwishowe hufanana kabisa, mpaka unajiuliza Hawa Ni mke na mume au Kaka na dada.
Mfano mwingine Ni pale mwanamke anapokuwa amejihusisha kingono na wanaume wengi, hivyo ndani yake kunakuwa Kuna DNA za wanaume wengi, hivyo ataanza KUBADIRIKA kuanzia tabia mpaka mienendo, kwa sababu tayari cell zake zimebeba taarifa za watu mchanganyiko.
Hapa utaona pia hata wale wanaojiuza wanakuwa na tabia tofauti tofauti Ni kwa sababu hii ya kufanya ngono na wanaume tofauti tofauti na kupelekea kubeba taarifa za watu tofauti tofauti.
Hii ndiyo kwa wale watu ambao wako kwenye masuala ya kiroho wanasema kwamba mwanamke akitendembea na wanaume tofauti tofauti Kuna Roho za wale wanaume anakuwa anazibeba na zitaanza kumpelekesha.
Mfano mwingine ambao sikupenda niuweke Ila Sina budi kuuweka Ni pale unashangaa kwenye familia yenu Kuna mtoto ambaye yeye Yuko tofauti kabisa na wengine kitabia, mpaka mzazi unajiuliza huyu hii tabia kaichukua wapi wakati kwenye Koo za mama na baba hakuna mwenye tabia hiyo.
Ukweli Ni kwamba mwanamke anahifadhi DNA za kila mwanaume aliyeshiriku naye tendo na hii kupelekea cells zingine kuingiliana pale mwanamke anapobeba ujauzito hat Kama ujauzito kapewa na mwingine. Yaani hapa namaanisha Kama umeoa na Ni wewe ndiyo uliyempa mke wako ujauzito lakini Kama mke wako aliwahi kulala na wanaume wengine Basi kunauwezekano mkubwa pia wa zile cells za wanaume waliopita kuingia kwenye uzao wako pia.
Hii inavutia si ndiyo au inachanganya, vipi nimeiweka mapema Sana au nimechelewa kuileta nondo hii.
Lakini pia Kama mwanamke wako anapenda kuimba kwa kutumia maiki/koni na ikatokea
amefanya hivyo kwa mwanaume mwingine na mchuzi wa koni ukaingia mdomoni hii Ni mbaya Sana, Kwa sababu Kama manii yakiingia mdomoni, yanaenda mpaka kwenye maeneo ya nasal( kisehemu Fulani hivi kipo maeneo ya pua kwa ndani, au nyuma ya macho na masikio), Kisha yanaingia kwenye mkondo wa damu na mwishowe yanaenda kujikusanya kwenye ubongo na kutiririka mpaka kwenye uti wa mgongo na hapo yanakuwa Ni sehemu ya huyo mwanamke milele.
Sasa jaribu kufikilia umempata mke ambaye siyo bikra, inamaanisha Ana DNA za mwanaume au wanaume wengine kwenye ubongo na uti wa mgongo wake, na kitakachotokea hizo DNA zao zinaenda kuwa sehemu za watoto wako.
Na hii ndiyo sababu wazazi wetu walituhusia tuoe wale ambao Ni mabikra na hii ndiyo sababu katika baadhi y jamii ukimtoa mwanamke bikra hata Kama Ni bahati mbaya Basi utake usitake huyo ndiyo anakuwa mke wako.
Ahsante.
Tutaona wakati mwingine.
Sent from my SM-A042F using JamiiForums mobile app