Seriously, Meggy lazima ana issues na mwanae
Sidhani kama ana mapenzi naye sababu anamuona ni 'aibu' au 'anguko' kwake
ndo maana hana ujasiri kumtaja kwa watu anaodhani ni wa maana kwake.
Unakumbuka ile stori ya mdada aliyenywesha sumu mtoto ili aolewe?
Mi naona zinahusiana ila tofauti ni 'degree ya ukichaa' tu wa kutaka kuolewa ndio umetofautiana.
Kweli kabisa
Kuna kitu kinaendelea kati ya jhuyu dada na mtoto wake ambacho may be alitaka kuficha sana kuwa ana mtoto sasa akaona ipo siku ataumbuka ndo maana kaamua kulisema
Haiingii akilini five years hujawahi kutaja jina la mtoto kwa mwanaume wako
haaingii akilini five years umekuwa nae may be outing hata marafiki zake na mwanamke hawajawahi kukutajia au kukuliiza habari za mtoto wako