Mwanakijiji,
Ni rahisi sana kwa mtoto kuchezea matiti ya mama yake, lakini si rahisi kuchezea korodani za Baba yake. Kipindi hiki CCM imeshikwa pabaya. Inashindwa kupumua, taratibu inakata roho. Tarehe 31.10.10 tunaipeleka makaburini na kuizika.
Du hii umesema kweli siku ya kufa nyani miti yote huteleza.