Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,996
- 10,484
- Thread starter
- #81
Acha ujinga wako hapa. Elimu gani uliyonayo unayoweza kulinganisha na Elimu kubwa na ujuzi na maarifa ya kutosha aliyo nayo Mh Rais wetu?Kwanza huyo Rais Samia wako kulingana na kigezo cha elimu hana sifa ya kugombea urais. Pale yupo kwa bahati mbaya maana hakugombea na kushinda. Katiba mbovu ilimbeba baada ya kifo cha JPM.