steveachi
JF-Expert Member
- Nov 7, 2011
- 9,627
- 10,350
Mbona Zanzibar hakuna mifumuko ya bei ys kipumbavu kama huku baraNauli zimepanda kutokana na kupanda kwa gharama za uendeshaji.hata hivyo nchi kama kenya kwenyewe bei zilikuwa zimepanda tangia muda tu wakati Tanzania zikiwa hazijapanda licha ya kupanda kwa bei za mafuta .