Ndumbayeye
JF-Expert Member
- Jan 31, 2009
- 7,335
- 3,902
huo wimbo alioimba na r kelly sijawahi husikia..
Nimechapia wapi, hebu onesha tuone nimechapia wapi na kwa vipi nijifunze na mimi.Mkuu umechapia apo unaijua vzuri iyo lugha?
Mkuu andika kiswahili halisiNimechapia wapi, hebu onesha tuone nimechapia wapi na kwa vipi nijifunze na mimi.
Unapoandika "apo", "vzuri" na "iyo" unapata wapi nguvy ya kuniambia mimi nimechapia?
Wewe hiyo lugha uliyoandika unaijua vizuri?
Wewe ulichoandika lugha gani hiyo?Mkuu andika kiswahili halisi
Msaidie huyo jamaa wa juu hapo kunijibu hilo swali,maana mnaongea kwa ushabiki zaidi kuliko data.
Wewe ndo mtoto unakaa kujadili mwanaume mwenzio et ametoboa au hajatoboa kwani wewe umetoboa?Ukapige story na watoto wenzako uku great thnkers
Vp naww umetoboa mkuu?Wewe ndo mtoto unakaa kujadili mwanaume mwenzio et ametoboa au hajatoboa kwani wewe umetoboa?
Anawatoa wasanii wachanga, tatizo li wapi?Nimeshangaa sana collabo zilizo nyingi za Alikiba anafanya na watu wasio eleweka kama ndo wanaanza game, nilitegemea kuona anasuka colabo za maana na watu wa maana ila mambo kwahuyu jamaa ayapo hivo, tatizo nini kwa huju jamaa, nadhani ndo maana hawezi hata kuja kutoboa kimataifa zaidi.
sio ndo level zakeAnawatoa wasanii wachanga, tatizo li wapi?
Sikuelew naona kma unaongea pumba iv naomba niache kidogo data huna ushabiki huna uelewa wenye hunaMsaidie huyo jamaa wa juu hapo kunijibu hilo swali,maana mnaongea kwa ushabiki zaidi kuliko data.
Mimi nataka unijibu,kama swali hujalielewa si vibaya ukitaka nikueleweshe kusudio la swali langu.Kinyume na hivo wewe huna jibu ndio mana unajichanganya.Sikuelew naona kma unaongea pumba iv naomba niache kidogo data huna ushabiki huna uelewa wenye huna
Kwan ww unachotaka kukijua ni nini kama unataka kumkrash kiba kwamba hajatoboa utakuwa ni mgen wa mziki ww cbureMimi nataka unijibu,kama swali hujalielewa si vibaya ukitaka nikueleweshe kusudio la swali langu.Kinyume na hivo wewe huna jibu ndio mana unajichanganya.
Kijana lugha huijui halafu unataka ubishani wewe kama uwezo wako ni kutembea na sendo usilazimishe kuvaa butiMkuu umechapia apo unaijua vzuri iyo lugha?
Mkuu una miaka mingapi?Kijana lugha huijui halafu unataka ubishani wewe kama uwezo wako ni kutembea na sendo usilazimishe kuvaa buti
Miaka kama ya babu yakoMkuu una miaka mingapi?
Miaka kama ya babu yako
Mkuu ww kibokoMiaka kama ya babu yako
Ili uonekane bora ni lazima udhihirishe ubora wako kwa kuwavuta walio chini ili waje juu.Agent wa Yaya Toure alimwambia Pep Gurdiola kwamba kama kweli wewe ni kocha mzuri nenda kafundishe timu ndogo.Actually Kiba anaonekana anafanya kolabo na wasanii ambao hawajui mziki kwa sababu watz tumekuwa na mentality ya ku-shine muda wote!!wewe unafikiri kwanini corabo ya Sauti sol$Kiba ipo hot sana?Nimeshangaa sana collabo zilizo nyingi za Alikiba anafanya na watu wasio eleweka kama ndo wanaanza game, nilitegemea kuona anasuka colabo za maana na watu wa maana ila mambo kwahuyu jamaa ayapo hivo, tatizo nini kwa huju jamaa, nadhani ndo maana hawezi hata kuja kutoboa kimataifa zaidi.