Nimeshangaa sana collabo zilizo nyingi za Alikiba anafanya na watu wasio eleweka kama ndo wanaanza game, nilitegemea kuona anasuka colabo za maana na watu wa maana ila mambo kwahuyu jamaa ayapo hivo, tatizo nini kwa huju jamaa, nadhani ndo maana hawezi hata kuja kutoboa kimataifa zaidi.