Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 11,747
- 14,647
Mkuu ebu tuwekee hayo maswali japo kwa uchache tuyajadili.
Sawa kabisa!
Mkuu ebu tuwekee hayo maswali japo kwa uchache tuyajadili.
Ndugu yangu ukitoa maelezo hivi hivi pasipo proof tutakuona kama mtu anayemfukuza kichaa aliyebeba nguo zake wakati yeye yuko uchi. We need proof.
..........................
Tano na mwisho ningependa kuuliza kwa nini Video ya MASWALI NA MAJIBU kwenye mkutano wa DMV uliwekwa kapuni na CHADEMA? Hawa CHADEMA alivyo media savy tulitegemea MEDIA DEPARTMENT YA CHADEMA wangeweka vidoe zote kwenye:
Website yao
Blog yao
youtube channel yao
Hasa ukizingatia waziri kivuli wa utamaduni bwana mbilinyi alikuwepo kwenye ule msafara.
sasa kwa nini haya mambo ya TRANSPARENCY yamekuwa kama ya CCM? Kuna siri gani?