Eiyer
JF-Expert Member
- Apr 17, 2011
- 28,258
- 20,709
mkuu,imekutach nini? kama upendo upo moyon kwann sometym avae na smtym avue?
Japokua siamini katika pete,kwa wanaoamini katika hiyo kitu,hili swali zuri sana!
mkuu,imekutach nini? kama upendo upo moyon kwann sometym avae na smtym avue?
pete ya ndoa inapunguza soko kwa babies kwan we HULIJUI HILI?
Well said wenye ndoa ni raha unakuwa free akiwa kwa mkewe kuliko kukaa na vijivulana single kutwa kushinda na wewe kila kona yuko mgongoni mwako na pia salio la wenye ndoa linaridhisha hamna longoX2!
Ndo maana mimi sivai kabisaaaaaaaaaaa, zina unafiki fulani
Washamba hao,wenye pete ndio wanatakiwa sana na wadada siku hz, tena utakuta mdada kabisaaa anaangalia kwanza kama kuna pete kidoleni
Sasa wamekwambia wao wanataka wadada??!!!!!!!!! Je kama sababu ya kuondoa hizo pete ni kukwepa hao machangu papa??!!Washamba hao,wenye pete ndio wanatakiwa sana na wadada siku hz, tena utakuta mdada kabisaaa anaangalia kwanza kama kuna pete kidoleni
Labda waliingia chooni wakaogopa isichafuke!!!
Hakuna kitu kama hicho, uvue pete halafu useme unakwepa kitu kama hicho, kuvua pete hakuzuii kitu kama unakihitaji toka moyoni utafanya uwe na pete ama usiwe nayoSasa wamekwambia wao wanataka wadada??!!!!!!!!! Je kama sababu ya kuondoa hizo pete ni kukwepa hao machangu papa??!!
Wadada wapenda vya watu ndo techniq yao@BlackBerry kwa hiyo, wadada wengi mnapenda kutafuna vya wenzenu na hamtaki kujitafutia vyenu? Hebu tujuze kama vipi tukajinunulie pete...