Macbook pro
JF-Expert Member
- Jul 15, 2020
- 665
- 902
Habari ganj wanafamilia wa MMU, Ni muda sana umepita tangu nilete maada yangu kuomba ushauri. Poleni kwa changmoto za maisha NA misiba iliyoikumba nchi yetu pendwa.
Niende kwenye maada, mie na MWENZA wangu ambaye sasa hivi tuna takiribani miaka miwili pamoja na mwaka mmoja wa Ndoa. Kama mnavyofahamu nyakati zimebadilika sana, Mambo katika jamii zetu yamebadilika sana.eo kunayo mitandao ya kijamii ambayo imeifanya dunia kuwa kama mtaa kama sio Kijiji kabisa. Kila siku watu tunapata marafiki wapya katika maeneo mbali mitandao ya kijamii ikiwemo bila kusahau maeneo tunayotumia muda mrefu katika masaa yetu kujitafutia ridhiki.
Mie ninao marafiki wa jinsia tofauti tofauti ambao ni marafiki tu kwa maana ile ya Rafiki na si vinginevyo.
Mke wangu sio mtu wa kueleweka njseme hivyo, kuna muda kulitokeaga ugomvi ambao ulikuwa kwa sababu ya SIMU na hii ilitokea baada ya yeye kuchukua SIMU na kuangaza kufungua meseji za kawaida na WhatsApp na halo ugomvi ukaibuka.
Kosa langu ni "kumsifia mdada anamguu mzuri" na kwa sababu yeye mama yangu sijui kwa sababu hakujaliwa mguu wa Bia (Ila kajaliwa chura na umbo tu zuri Ila miguu yake ni ya kawaida) basi ikawa kesi tena kesi kweli kweli.
Na sio hivyo tu eti analalamika kwaninj Kila mwanamke ninayechati naye namwita "Mama" au "Boss" kisa hayo majina huwa namwita.
Sasa haya magomvi yakawa kama yameisha baada ya kumuomba msamaha. Mie hua sipendi kushika SIMU yake hata SIMU yake ikiita ataikuta mie sihangaiki nayo kabisa.
Hapa juzi kati daah, ile nimerudi home late mida ya saa tank kasoro alikuwa amechukia kisa nimerudi late.
Mie ninafanya kazi kwenye Pharmacy ambako ikifika usiku saa nne tunafunga ofisi. Turudi huku, Nimerudi home nikakuta chakula mezani nikala na nikawa nimeenda bafuni kuoga bafuni (Chumba ni Master) nikiwa naoga ikaingia meseji kwenye SIMU ndogo akanyanyuka kutoka kitandani haraka akawahi akasome meseji alipofungu meseji akakutana na meseji ya M- Pawa na nyingine ambayo haijafunguliwa ilikuwa inatoka kwa Mshikaji wangu nahisi ilichelewa kufika.
Kapekua SIMU yote hapakuwepo dudu lolote akaomba SIMU kubwa nikamfungulia password akaanza upekuzi. Yaani Kila meseji zenye jina la kike alikuwa anafungua na bahati mbaya anakuta nimemsifia mdada kwenye picha aloweka status na kumwita Mama ambayo yeye anataka nimuite yeye tu . Ila baadae anafungua inbox ya mdada huwa tunautani basi kakuta utani fulani na pia nimemwambia kuwa kama Ningekuwa Mwislam ningeoa Mke wa pili ambaye ni yeye. Halo ndipo ugomvi ukaanza tena. Na aliingia kote Ila ndio hivyo tena. Sasa hivi amenuna anataka aende kwao eti akili inikae sawa maana sitaki kuachana na tabia yangu ya kusifia wadada.
Mimi hii tabia ya kugombana kisa SIMU inanikera na mpaka anasema kwanini nachati na wadada sana daah. Huu naona kama niko jera kusema ukweli. Sasa najiuliza Inawezekanaje ukamwambia mwenza WAKO kuwa tusishikiane simu na akaelewa. Uhuru wa kuwa na faragha kwenye Ndoa haupo au ni kwamba ukioa hiyo faragha haipo??
Niende kwenye maada, mie na MWENZA wangu ambaye sasa hivi tuna takiribani miaka miwili pamoja na mwaka mmoja wa Ndoa. Kama mnavyofahamu nyakati zimebadilika sana, Mambo katika jamii zetu yamebadilika sana.eo kunayo mitandao ya kijamii ambayo imeifanya dunia kuwa kama mtaa kama sio Kijiji kabisa. Kila siku watu tunapata marafiki wapya katika maeneo mbali mitandao ya kijamii ikiwemo bila kusahau maeneo tunayotumia muda mrefu katika masaa yetu kujitafutia ridhiki.
Mie ninao marafiki wa jinsia tofauti tofauti ambao ni marafiki tu kwa maana ile ya Rafiki na si vinginevyo.
Mke wangu sio mtu wa kueleweka njseme hivyo, kuna muda kulitokeaga ugomvi ambao ulikuwa kwa sababu ya SIMU na hii ilitokea baada ya yeye kuchukua SIMU na kuangaza kufungua meseji za kawaida na WhatsApp na halo ugomvi ukaibuka.
Kosa langu ni "kumsifia mdada anamguu mzuri" na kwa sababu yeye mama yangu sijui kwa sababu hakujaliwa mguu wa Bia (Ila kajaliwa chura na umbo tu zuri Ila miguu yake ni ya kawaida) basi ikawa kesi tena kesi kweli kweli.
Na sio hivyo tu eti analalamika kwaninj Kila mwanamke ninayechati naye namwita "Mama" au "Boss" kisa hayo majina huwa namwita.
Sasa haya magomvi yakawa kama yameisha baada ya kumuomba msamaha. Mie hua sipendi kushika SIMU yake hata SIMU yake ikiita ataikuta mie sihangaiki nayo kabisa.
Hapa juzi kati daah, ile nimerudi home late mida ya saa tank kasoro alikuwa amechukia kisa nimerudi late.
Mie ninafanya kazi kwenye Pharmacy ambako ikifika usiku saa nne tunafunga ofisi. Turudi huku, Nimerudi home nikakuta chakula mezani nikala na nikawa nimeenda bafuni kuoga bafuni (Chumba ni Master) nikiwa naoga ikaingia meseji kwenye SIMU ndogo akanyanyuka kutoka kitandani haraka akawahi akasome meseji alipofungu meseji akakutana na meseji ya M- Pawa na nyingine ambayo haijafunguliwa ilikuwa inatoka kwa Mshikaji wangu nahisi ilichelewa kufika.
Kapekua SIMU yote hapakuwepo dudu lolote akaomba SIMU kubwa nikamfungulia password akaanza upekuzi. Yaani Kila meseji zenye jina la kike alikuwa anafungua na bahati mbaya anakuta nimemsifia mdada kwenye picha aloweka status na kumwita Mama ambayo yeye anataka nimuite yeye tu . Ila baadae anafungua inbox ya mdada huwa tunautani basi kakuta utani fulani na pia nimemwambia kuwa kama Ningekuwa Mwislam ningeoa Mke wa pili ambaye ni yeye. Halo ndipo ugomvi ukaanza tena. Na aliingia kote Ila ndio hivyo tena. Sasa hivi amenuna anataka aende kwao eti akili inikae sawa maana sitaki kuachana na tabia yangu ya kusifia wadada.
Mimi hii tabia ya kugombana kisa SIMU inanikera na mpaka anasema kwanini nachati na wadada sana daah. Huu naona kama niko jera kusema ukweli. Sasa najiuliza Inawezekanaje ukamwambia mwenza WAKO kuwa tusishikiane simu na akaelewa. Uhuru wa kuwa na faragha kwenye Ndoa haupo au ni kwamba ukioa hiyo faragha haipo??