CharmingLady
JF-Expert Member
- Apr 16, 2012
- 18,250
- 12,868
heshima mbele wanajamvi
juzi kati nlikuwa safari. katika safari kulikuwa na wakaka wawili ninaofahamiana nao. 1 alifunga ndoa mwaka jana,mwingine mwaka juzi. basi kupiga chabo kwenye vidole vyao nikakuta wamevua pete zao za ndoa. wakati mida ya mchana walikuwa wamevaa kama kawaida. na baada ya kurudi home place nlishuhudia wakiwa wamezivaa tena. nilijiuliza maswali bila kupata majibu. . . kwenu wanajamvi, hivi ni kwanini ?
juzi kati nlikuwa safari. katika safari kulikuwa na wakaka wawili ninaofahamiana nao. 1 alifunga ndoa mwaka jana,mwingine mwaka juzi. basi kupiga chabo kwenye vidole vyao nikakuta wamevua pete zao za ndoa. wakati mida ya mchana walikuwa wamevaa kama kawaida. na baada ya kurudi home place nlishuhudia wakiwa wamezivaa tena. nilijiuliza maswali bila kupata majibu. . . kwenu wanajamvi, hivi ni kwanini ?