Kwanini baadhi ya wanandoa wapo hivi?

CharmingLady

JF-Expert Member
Apr 16, 2012
18,250
12,868
heshima mbele wanajamvi
juzi kati nlikuwa safari. katika safari kulikuwa na wakaka wawili ninaofahamiana nao. 1 alifunga ndoa mwaka jana,mwingine mwaka juzi. basi kupiga chabo kwenye vidole vyao nikakuta wamevua pete zao za ndoa. wakati mida ya mchana walikuwa wamevaa kama kawaida. na baada ya kurudi home place nlishuhudia wakiwa wamezivaa tena. nilijiuliza maswali bila kupata majibu. . . kwenu wanajamvi, hivi ni kwanini ?
 
Washamba hao,wenye pete ndio wanatakiwa sana na wadada siku hz, tena utakuta mdada kabisaaa anaangalia kwanza kama kuna pete kidoleni
 
heshima mbele wanajamvi
juzi kati nlikuwa safari. katika safari kulikuwa na wakaka wawili ninaofahamiana nao. 1 alifunga ndoa mwaka jana,mwingine mwaka juzi. basi kupiga chabo kwenye vidole vyao nikakuta wamevua pete zao za ndoa. wakati mida ya mchana walikuwa wamevaa kama kawaida. na baada ya kurudi home place nlishuhudia wakiwa wamezivaa tena. nilijiuliza maswali bila kupata majibu. . . kwenu wanajamvi, hivi ni kwanini ?

Ndoa iko moyoni mwa mtu si pete! Na wewe hizo pete zinakuhusu nini?
 
Washamba hao,wenye pete ndio wanatakiwa sana na wadada siku hz, tena utakuta mdada kabisaaa anaangalia kwanza kama kuna pete kidoleni

Well said wenye ndoa ni raha unakuwa free akiwa kwa mkewe kuliko kukaa na vijivulana single kutwa kushinda na wewe kila kona yuko mgongoni mwako na pia salio la wenye ndoa linaridhisha hamna longoX2!
 
Pete has nothing to do with ndoa bana kikubwa maelewano ndani ya nyumba
 
pete ya ndoa inapunguza soko kwa babies kwan we HULIJUI HILI?
 
Back
Top Bottom