ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 397
- 1,394
Obama alianza uraisi akiwa 48 yrs na tulimuuita kijana.
Elon Musk ana 53, tajiri mkubwa namba moja duniani, tunamuuita kijana
Mark Zuckerberg ana 39, tajiri mkubwa tunamuita kijana
Kwanini Africa ukifikisha 35, 45, 55, tunasema ni mzee?
Nataka, kutoa somo moja Leo. Chanzo kingine cha Africa kuwa maskini ni kudharau watu wenye mkubwa.
Ni kawaida, mwanadamu anapifikisha 50 yrs, huwa anakuwa.
Kwenye ukomavu na utimamu wa akili. Chini ya hapo ni kubahatisha.
Viongozi wengi kwenye mashirika, makampuni, nchi huwa kwenye huo umri kuanzia 50-70 yrs.
Huwezi kupata maendeleo kwa kujaza uongozi kwenye kampuni, shirika, nchi watu wenye umri chini ya hamsini. Huo ni utani. Hutapata maendeleo.
Nchi zilizoendelea wanalijua hilo ndiyo maana labour tegemezi ni hiyo miaka.
Chini ya hapo mtu anakuwa Hana experience ya Mambo mengi hence makampuni mengi hayakuwi au kufilisika kabisa
Binadamu mwenye miaka kuanzia 50-70, anakuwa na uwezo mkubwa sana wa ki akili
Hata chunguza, wagunduzi wengi zamani walifanya ugunduzi wakiwa ni hiyo miaka.
Ni wachache walifanya maajabu chini ya hiyo miaka. Tukijaza watoto kwenye maendeleo ya jamii yetu ni hatari mno. Hatuwezi
Kusonga, mbele kama jamii
Old is Gold
Elon Musk ana 53, tajiri mkubwa namba moja duniani, tunamuuita kijana
Mark Zuckerberg ana 39, tajiri mkubwa tunamuita kijana
Kwanini Africa ukifikisha 35, 45, 55, tunasema ni mzee?
Nataka, kutoa somo moja Leo. Chanzo kingine cha Africa kuwa maskini ni kudharau watu wenye mkubwa.
Ni kawaida, mwanadamu anapifikisha 50 yrs, huwa anakuwa.
Kwenye ukomavu na utimamu wa akili. Chini ya hapo ni kubahatisha.
Viongozi wengi kwenye mashirika, makampuni, nchi huwa kwenye huo umri kuanzia 50-70 yrs.
Huwezi kupata maendeleo kwa kujaza uongozi kwenye kampuni, shirika, nchi watu wenye umri chini ya hamsini. Huo ni utani. Hutapata maendeleo.
Nchi zilizoendelea wanalijua hilo ndiyo maana labour tegemezi ni hiyo miaka.
Chini ya hapo mtu anakuwa Hana experience ya Mambo mengi hence makampuni mengi hayakuwi au kufilisika kabisa
Binadamu mwenye miaka kuanzia 50-70, anakuwa na uwezo mkubwa sana wa ki akili
Hata chunguza, wagunduzi wengi zamani walifanya ugunduzi wakiwa ni hiyo miaka.
Ni wachache walifanya maajabu chini ya hiyo miaka. Tukijaza watoto kwenye maendeleo ya jamii yetu ni hatari mno. Hatuwezi
Kusonga, mbele kama jamii
Old is Gold