kwamtoro
JF-Expert Member
- Nov 15, 2010
- 4,922
- 3,234
Ndugu zangu wana JF. Niliwamic sana takribani week moja, nilikuwa segerea kwa kosa ambalo silifahamu mpaka leo. Poleni sana kwa Mabomu ya Gongo la mboto. Ongereni pia kwa michango yenu mizuri katika kipindi chote cha bunge.
Mod, naomba setting ya Avarta. Niweke picha yangu. Jamii inifahamu, kwamtoro nipo vipi.
Asanteni
Mod, naomba setting ya Avarta. Niweke picha yangu. Jamii inifahamu, kwamtoro nipo vipi.
Asanteni