Kwako Kaka William Malecela

Bin Malecela,

Kwanza Salaam,

Asante kwa maelezo mazuri.........ni vizuri kubaki 'nyumbani'.....but do you really think that CCM will get back to its old former self? Or is it a case of a sinking ship and mice?

- Mkuu sana heshima yako, Mwaka 2005 niliwaonya CCM kama chama kwamba huu mtandao kuna siku utakuja kuwaumiza sana, wakapuuza na hatimaye wamefikia mahali wamekubali maneno yangu maana sasa unawaumiza sana kuliko wengi mnavyoamini na kuelewa kwa hiyo ninataka kuamini kwamba I have the bragging authority ya kutabiri kuhusu mwendo wa siasa ili kuweza kukujibu!

- I like Chadema as chama, lakini I dont trust baadhi ya viongozi wake muhimu wa taifa ingawa I trust Mh. Mbowe kwa sababu I know him kwa karibu sana toka tukiwa watoto, nimetumia muda mwingi sana kujifunza siasa kwa Marehemu baba yake pale Sea View, so I know the views za Freeman na taifa and I respect that, lakini siwezi kujiunga na Chadema kwa sababu I am not convinced kwamba wako ready for prime time!

- HOWEVER: CCM will always get better kwa sababu hahitaji kujirudia itself, katika hizi zama za mwendo wa vyama vingi huwezi kuhesabu the old CCM as anything in order ku-analyize its future, CCM inahitaji kubadilika na kuenda na wakati na uchaguzi uliopita umefanya exactly that umeiamsha CCM na sasa ndio inaanza kwenda na wakati, ninasikitika kwamba bado tuna majina yale yale kama Nauye na Makamba kwenye kubadilika, lakini that is what we have na people hao ndio the future ya CCM that is the reality, Tanzania sasa hivi tumefikia wakati kiongozi asiyekua na jina la baba anapigwa vita na wasio na majina wenzake mpaka the alternative inakuwa kiongozi mwenye jina la baba I mean wananchi tufike mahali tubadilike tuache kupigana vita bila sababu za msingi tujali the big picture kuliko ubinafsi.

- CCM haitajirudia kwenye old self, isipokuwa it will get better kwa sababu Wapinzani hawako tayari kuungana halafu pia viongozi wengi waliopo huko hawako tayari kuwaachia vijana, kwenye uchaguzi ujao CCM itaondoa viongozi karibu wote wazee and that will be the homerun, tizama sasa hivi Nape anavyowapa taabu Chadema, I mean nimewaambia CCM mara nyingi sana huko nyuma kwamba all they need to do ni kufanya one thing kuondoa mafisadi na boom Chadema watakosa agenda, wamewatoa mafisadi NEC na CC tayari the political game has changed, sasa kweli unafikiri wataishia hapo tu na huku wanaona wazi kwamba stocks za siasa zinawaendea vizuri sasa, no wataendelea ku-get better na siku watakapowatema mafisadi kabisa which is coming soon ndio watakuwa wamejiweka vizuri for a good 10 years!

- Chadema they are doing a great job to our nation no question about it, lakini wakati umefika wa wao kuelewa kwamba siasa ni kuachiana vijiti huu ni wakati wa Slaa kukabidhi mwingine kijiti, he has done an-excellent job, infact yeye na Mbowe wamefanya a fantastic job kwa Chadema ever, lakini the time has come kwa Chadema to change its direction na kuwa wabunifu zaidi na hasa kuwaelimisha wananchi ishus serious kwa taifa, kwa mfano DOWANS I mean that monster is more than what you know, utashangaa kusikia what you dont know about it na Chadema they know, lakini what should be the national priority on their agenda sasa hivi wanahangaika sana kwa wale tunaoelewa siasa. Agenda ya ufisadi imesaidia sana kuongeza wabunge, sasa ni wakati wa kutafuta agenda nyingine, ni mawazo yangu tu people!

- Ningependa kuona Dr. Kitila na Mwanakijiji wanapewa nafasi ya kuiongoza Chadema on priorities za taifa!, hata on a high consultation level.


William @ NYC, USA.
 
William, Matatizo ya wenzetu ni afadhali haya ya kwetu yamepita kiasi. Fikiria umeme unakatika usiku mzima na joto hili la dar na maji ya kuoga hakuna dumu mojaTsh 250 tena maji ya chumvi, hapo kaka mshahara sh 85,000 kwa mwezi? Mchele kilo 1600, Unga 1000 bado matumizi mengine...

hali ni mbaya mbaya sana, niamini mimi bila marekebisho katika uongozi wa nchi hii nakwambia hatufiki 2015, watu wa hali ya chini itafikia hatua watashindwa uvumilivu. na dalili ya tunakokwenda kwa mtazamo wangu ni GIZA kabisa, sioni mwanga kabisa kama hata elimu tunailetea maloloso (utani) yaani tunajiua wenyewe.

Ni maoni tu, sina jingine ndugu yangu.

- Maneno mazito sana Brother, wanaohusika wapo hapa wanakusikia sana!


William @ NYC, USA.
 

- Maneno mazito sana Brother, wanaohusika wapo hapa wanakusikia sana!


William @ NYC, USA.

Nataka independent candidates waruhusiwe kugombea uraisi na ubunge. Nimechoka na ngonjera za CCM na CDM. Woote ni pumba tu kila kukicha
 
Wapo wengi ambao wamejitokeza kwenye public kuwatumikia wananchi lakini waliamua kutumia majukwaa mengine na si kwenye Magamba. Hili gari (CCM) limechakaa kiasi kwamba hata huwezi kuli-trade in, lililopo ni kulitupia mbali maana hata recycling ime-prove kuwa halikubaliki. Watu wanataka mabadiliko na si sanaa za TOT.

13.JPG
 
obama-dancing.jpg


Wapo wengi ambao wamejitokeza kwenye public kuwatumikia wananchi lakini waliamua kutumia majukwaa mengine na si kwenye Magamba. Hili gari (CCM) limechakaa kiasi kwamba hata huwezi kuli-trade in, lililopo ni kulitupia mbali maana hata recycling ime-prove kuwa halikubaliki. Watu wanataka mabadiliko na si sanaa za TOT.

13.JPG

- Mkuu usanini ni kila mahali, ila unakua na wakati wake!

William @ NYC, USA.
 
William, kwa kiasi fulani I can understand kwa nini umeshikilia bango hii hoja ya kofia mbili kuvaliwa na mtu mmoja. And you know why I said you know.

Kuhusu mfumo wa ubepari Kenya na Ujamaa Tanzania - siamini hata kwa asilimia 5 kwamba ndio sababu kuu ya kuchanganya mambo. Appriximately, 40% wa watanzani wana umri chini ya miaka 17!!! Azimio la Zanzibar lililozika Ujamaa lilikuwa lini? vijana hawa wanajua mambo/maneno kama ujasiriamali, machinga, google na sasa facebook. kwa maneno mengine hawajakuzwa na huu mfumo wa ujamaa. Na ukienda mbele zaidi more than 60% ni chini ya 30 yrs old. kama Watanzania are old enough kuona mapungufu kwenye mfumo wa kiuongozi inakuwaje mtu aseme ni wachanga kutoa solution? Hivi kuna hasara gani kutenganisha viti hivi viwili? CHADEMA wamefanya hivyo wakati wa campaign walau mwenyekiti amebakia kuwa mwenyekiti na mgombea urais akawa kwenye safu ya Urais. Halikuharibika jambo!

Mbowe alifanya kwa utashi wa katiba au kwa kuona hafui dafu kwa wagombea wengine? Wa TLP, NCCR nao ni katiba za vyama vyao au? Nadhani maana ya kutenganisha Uenyekiti na Urais ni ili Mwenyekiti wa Chama abaki kwenye kazi za chama na asiwe mtendaji wa Serikali. Kina Mbowe, Mrema Lyatonga na Mbatia wao hawakuacha kugombea ili kufanya kazi za chama bali waliona uwezo wao ni Ubunge.

Mimi binafsi nakubaliana na hoja ya kutenganisha Uraisi na Uenyekiti wa Chama ili Raisi aliyeko madarakani awe anawajibika kwa Secretariat ya Chama Chake kiutendaji tofauti na ilivyo sasa ambapo karibu kila kitu yeye ni msemaji wa mwisho.


 
- Unajua Mungu alituumba sometimes kusema our fears bila kujua, it takes a lot ku-figure out anachokisema binadam mwingine na asichokisema, maisha yangu hayakuhusu jali yako hapa ni uwanja wa hoja za siasa kuhusu taifa. Ninachokifanya hapa New York na nisichokifanya hukijui na wala hutakuja kujua, kama ambavyo ulikuwa hujui ya shareholding hapa, jali ya kwako achana na mimi kuna siku utajua sehemu zote ninazoshiriki ndio utashangaa zaidi ha! ha! ha!!

- Jumapili I had a great talks na Mheshimiwa Tundu Lissu, maana ndio wanaojua hasa kinachoendelea kwenye taifa letu na tunaheshimiana sana maana wanaheshimu sana mchango wangu kwa taifa, ya Mungu na lucifer huwezi kuchanganya na siasa! Wasalimie!

William @ NYC, USA.

Willium unamkwara wewe sikuwezi! I wish kama huo mkwara ungewakimbiza kina RACHEL mpaka ukonga teh! By the way nimefurahishwa na mkutano wako na Tundu Lisu hapo ndipo mm na wewe tunapo intersect utaifa mbele chama kinafuata baadaye big up man!
 
Mbowe alifanya kwa utashi wa katiba au kwa kuona hafui dafu kwa wagombea wengine? Wa TLP, NCCR nao ni katiba za vyama vyao au? Nadhani maana ya kutenganisha Uenyekiti na Urais ni ili Mwenyekiti wa Chama abaki kwenye kazi za chama na asiwe mtendaji wa Serikali. Kina Mbowe, Mrema Lyatonga na Mbatia wao hawakuacha kugombea ili kufanya kazi za chama bali waliona uwezo wao ni Ubunge.

Mimi binafsi nakubaliana na hoja ya kutenganisha Uraisi na Uenyekiti wa Chama ili Raisi aliyeko madarakani awe anawajibika kwa Secretariat ya Chama Chake kiutendaji tofauti na ilivyo sasa ambapo karibu kila kitu yeye ni msemaji wa mwisho.



- Binafsi ninasema kwamba Tanzania, tubadilike na kuanza kulilia utawala unaoheshimu sheria, na sio none ishus kama za kofia mbili au mmoja, hili taifa tatizo letu ni moja tu hatuheshimu sheria, iwe wananchi mpaka viongozi, hatuheshimu sheria za Jamhuri. Rais anatakiwa kuitwa bungeni na kuhojiwa na bunge through kamati zake, wasaidizi wa Rais wapitishwe na bunge kwanza, I am praying kwamba siku moja tutafika huko, tutakapofika huko ndipo utaona hakuna faida tena ya Mwenyekiti wa chama kuwa mgombea urais!

- Kwa mfano jamaa hapa US aliteuliwa na Rais kwenda kuwa Balozi Colombia, jina lake likapelekwa Congress kupitishwa, ikagundulikwa kwamba alipokuwa College aliwahi kushikwa akivuta bangi, now Senate wakamkataa kwamba atakwendaje kuwa Balozi kwenye cnhi yenye Drugs kama Colombia, ikabidi Rais achague mwingine, this is what we need bongo, wallahi wataondoka viongozi wengi sana wababaishaji, wewe fikiria kwamba Tanzania tulimleta kiongozi aliyesimamia kuungua kwa BOT kuwa Balozi huku, I mean wazungu walitushangaa sana!


William @ NYC, USA.
 
William, Matatizo ya wenzetu ni afadhali haya ya kwetu yamepita kiasi. Fikiria umeme unakatika usiku mzima na joto hili la dar na maji ya kuoga hakuna dumu mojaTsh 250 tena maji ya chumvi, hapo kaka mshahara sh 85,000 kwa mwezi? Mchele kilo 1600, Unga 1000 bado matumizi mengine... Mafuta ya Petrol na ya Taa ni zaidi ya dola moja na ushee kwa lita... yaani hakuna pa kujikuna hali ni mbaya sana.

hali ni mbaya mbaya vibaya, niamini mimi bila marekebisho katika uongozi wa nchi hii nakwambia hatufiki 2015, watu wa hali ya chini itafikia hatua watashindwa uvumilivu. na dalili ya tunakokwenda kwa mtazamo wangu ni GIZA kabisa, sioni mwanga kabisa kama hata elimu tunailetea maloloso (utani) yaani tunajiua wenyewe.

Ni maoni tu, sina jingine ndugu yangu, sina uhakika ulikuwa unaongelea CCM inakotoka na inakokwenda au Taifa kwa ujumla.

Maskini watanzania! like orphans hawana pa kupeleka wasi wasi wao. Willium sikiliza raia wenzako maana wengi wanaona kama wewe unaweza suluhisha matatizo yao! Maana ukisoma hapa utafikiri wewe ndo tumaini pekee na kuwa if you hear what they say then something gud can be done. Angalia lakini ukiwapa big expectations ukashindwa kuzi meet utakuwa kama mwenyekiti wako.
 
Bwana WM usikate tamaa na hizo porojo. CCM sasa imepata makamanda wa kupambana na kelele za Dr. Slaa. Hawa watu walizoea wao kupiga makombora na akina Makamba kutulia, siku hizi tz mambo mswano, Dr. Slaa akitoa kashfa kuhusu ufisadi wa CCM, Nape anajibu na vielelezo wa UFISADI wa Dr. Slaa.

Hao CDM kesho wana mkutano Songea, leo CCM ina mkutano Songea; KUMEKUCHA!!!!

Ni kweli ukiwa unaangalia kitu unaita makombora ya kupambana na ufisadi CCM wameshatupiwa mengi mno yamewalalia. Mbinu wanayotumia ni ile ile ya CDM ambayo ni wazi CCM wamechelewa; kwa sababu lazima wayaondoe yaliyowalalia kwanza ambayo yanaizamisha meli yao. Wakishaelea ndiyo waelekeze mizinga itakuwa mwaka ngani huo???

Malecela chunga kama wewe kweli ni malecela kumbuka mlitoka kwenye "umataifa" mkaingia dini ya watu. Sababu ni kuwaacha au kutojitambulisha na "wamataifa". Sasa CCM ni chama la wamataifa halijali kumlalia jirani na kumdhulumu. Kwa vile watu wamelitambua linataka livae ngozi mpya kwa kujivua gamba. Pamoja hawajasema ngozi ipi, lakini kwa sasa kwa vile ni machui wala siyo nyoka na wanatuwinda watanzania, wanataka kuvaa ngozi ya kondoo. Wanasahau kuwa wana makucha na macho ya jamii ya paka na mkia mwembamba na mrefu. Wakiviondoa vote hivyo ndipo watafananishwa na sisi wadanganyika (watanzania) kama walivyotudanya miaka yote. Kuanzia hapo tutazungumza lugha moja na kwenda pamoja kuelekea kuijenga nchi yetu na siyo kutafunwa na chui hawa CCM.

Kwa hiyo bulai WM wihwese chukua hatua
 
Wapo wengi ambao wamejitokeza kwenye public kuwatumikia wananchi lakini waliamua kutumia majukwaa mengine na si kwenye Magamba. Hili gari (CCM) limechakaa kiasi kwamba hata huwezi kuli-trade in, lililopo ni kulitupia mbali maana hata recycling ime-prove kuwa halikubaliki. Watu wanataka mabadiliko na si sanaa za TOT.

13.JPG

Dogo yuko makini sana kwenye sanaaa!


DSC04369.jpg
 
Willium unamkwara wewe sikuwezi! I wish kama huo mkwara ungewakimbiza kina RACHEL mpaka ukonga teh! By the way nimefurahishwa na mkutano wako na Tundu Lisu hapo ndipo mm na wewe tunapo intersect utaifa mbele chama kinafuata baadaye big up man!



221839_10150243037483974_521538973_8780988_5846392_n.jpg


- Yes, it was great to meet the giant, nilikutana naye mji mmoja unaitwa Bridgeport, Connecticut State. Great man with great ideas and I was impressed na uwezo wake wa kuelewa ishus na kuzifafanua, alinipa sana darasa kuhusu role ya wapinzani katika society na what to expect from watawala kama wetu wanapokosolewa, na why wananchi tuna haki ya kuwakosoa kwa sababu through kodi tunawalipa mshahara wao, I enjoyed it lakini as usual different ideas, lakini TAIFA MBELE na KWANZA.

William @ NYC, USA.
 


- Ningependa kuona Dr. Kitila na Mwanakijiji wanapewa nafasi ya kuiongoza Chadema on priorities za taifa!, hata on a high consultation level.


William @ NYC, USA.

Willima wazo la mwisho na mimi ningepnda hilo tawi unalotaka kuanzisha lisiwe la chama bali liwe la Kitanzania kama NGO. Tuweke siasa pembeni though trough hiyo NGO chama chako kinaweza kupata umaarufu but kazi itakuwa imefanyika kwa watanzania.

waht can u do with NGO?
Kwa position yako au ebu mtumie boss wako au wewe mtumie JK zawadi hii
Physics Help: The Ultimate Physics Tutor -- 2 DVD Set -- 11 Hour Course (Newtonian Motion) $40.
Physics Help: The Ultimate Physics 2 Tutor, Volume 1 -- 10 Hour Course (Thermodynamics) $40.

Kichwa cha habarikiwe sisi tunshindwa nini?

Hivi tunalamika hatuna walimu tunalalamika hatuna maabara kwanini tunshindwa kutumi fursa zilizopo za bei nafuu. So hilo tawi lisiwe la chama liwe lenye mweleko kama huo. unawatumia mifano wahusika ili wajue cha kafanya. ........... Wakishidwa kuwezesha utengenzaji product kama hizo tutachakachua na kuziduplicate hizo hizo ili mradi watanzania wasome.......

Hakuna haja ya wanafunzi tena wa mjini kusoma practical kwa notisi kwa kisingizio cha kutokwepo vifaa vya lab . kuna visual lab na ni DVD. one time cost.

Jamani video sio laima ziwe za kanumba na haya ndo mawazo tunayataka kutoka kwenu mlio nje. sio kuanzisha matawi ya vyama vya siasa Anzisheni matawo ya Kusaidia ELIMU, AFYA etc.

Kama Juniior IT expert nachoka kabisa kuoona wenye mawazo hawana resources wenye resources na authority hawana ideas. Dah yaaaani........
 
- Binafsi ninasema kwamba Tanzania, tubadilike na kuanza kulilia utawala unaoheshimu sheria, na sio none ishus kama za kofia mbili au mmoja, hili taifa tatizo letu ni moja tu hatuheshimu sheria, iwe wananchi mpaka viongozi, hatuheshimu sheria za Jamhuri. Rais anatakiwa kuitwa bungeni na kuhojiwa na bunge through kamati zake, wasaidizi wa Rais wapitishwe na bunge kwanza, I am praying kwamba siku moja tutafika huko, tutakapofika huko ndipo utaona hakuna faida tena ya Mwenyekiti wa chama kuwa mgombea urais!

- Kwa mfano jamaa hapa US aliteuliwa na Rais kwenda kuwa Balozi Colombia, jina lake likapelekwa Congress kupitishwa, ikagundulikwa kwamba alipokuwa College aliwahi kushikwa akivuta bangi, now Senate wakamkataa kwamba atakwendaje kuwa Balozi kwenye cnhi yenye Drugs kama Colombia, ikabidi Rais achague mwingine, this is what we need bongo, wallahi wataondoka viongozi wengi sana wababaishaji, wewe fikiria kwamba Tanzania tulimleta kiongozi aliyesimamia kuungua kwa BOT kuwa Balozi huku, I mean wazungu walishangaa sana!


William @ NYC, USA.

CCM na JK wanakusikia sababu wapo humu
Utawala uliopo hauheshimu sheria
Jk anaogopa midahalo ijekuwa kwenda bungeni kuhojiwa? Halafu spika mwenyewe ndio huyo mama anakataa ukweli kuwekwa wazi bungeni kila kukicha? Heri angekuwa mzee Six
Mwenyekiti wa chama kuwa raisi ni siasa zilizopitwa na wakati
Huyo aliekuwa balozi US na alikuwa na ufisadi BoT ungemtaja jina manake simjui
 


- I like Chadema as chama, lakini I dont trust baadhi ya viongozi wake muhimu wa taifa ingawa I trust Mh. Mbowe kwa sababu I know him kwa karibu sana toka tukiwa watoto, nimetumia muda mwingi sana kujifunza siasa kwa Marehemu baba yake pale Sea View, so I know the views za Freeman na taifa and I respect that, lakini siwezi kujiunga na Chadema kwa sababu I am not convinced kwamba wako ready for prime time!

- HOWEVER: CCM will always get better kwa sababu hahitaji kujirudia itself, katika hizi zama za mwendo wa vyama vingi huwezi kuhesabu the old CCM as anything in order ku-analyize its future,

- CCM haitajirudia kwenye old self, isipokuwa it will get better kwa sababu Wapinzani hawako tayari kuungana halafu pia viongozi wengi waliopo huko hawako tayari kuwaachia vijana, kwenye uchaguzi ujao CCM itaondoa viongozi karibu wote wazee and that will be the homerun, tizama sasa hivi Nape anavyowapa taabu Chadema, I mean nimewaambia CCM mara nyingi sana huko nyuma kwamba all they need to do ni kufanya one thing kuondoa mafisadi na boom Chadema watakosa agenda, wamewatoa mafisadi NEC na CC tayari the political game has changed, sasa kweli unafikiri wataishia hapo tu na huku wanaona wazi kwamba stocks za siasa zinawaendea vizuri sasa, no wataendelea ku-get better na siku watakapowatema mafisadi kabisa which is coming soon ndio watakuwa wamejiweka vizuri for a good 10 years!

- Chadema they are doing a great job to our nation no question about it, lakini wakati umefika wa wao kuelewa kwamba siasa ni kuachiana vijiti huu ni wakati wa Slaa kukabidhi mwingine kijiti, he has done an-excellent job, infact yeye na Mbowe wamefanya a fantastic job kwa Chadema ever, lakini the time has come kwa Chadema to change its direction na kuwa wabunifu zaidi na hasa kuwaelimisha wananchi ishus serious kwa taifa, kwa mfano DOWANS I mean that monster is more than what you know, utashangaa kusikia what you dont know about it na Chadema they know, lakini what should be the national priority on their agenda sasa hivi wanahangaika sana kwa wale tunaoelewa siasa. Agenda ya ufisadi imesaidia sana kuongeza wabunge, sasa ni wakati wa kutafuta agenda nyingine, ni mawazo yangu tu people!



William @ NYC, USA.


William, you've sprinkled some truths in this hoja but lets deal with the red bits:

1. Siwezi kujiunga na Chadema kwa sababu I am not convinced kwamba wako ready for prime time! - You are at it again, hawako ready? Walio ready ni wepi hasa? - wanaotupa umeme 24/7 kila sehemu ya nchi, walijenga ATCL na sasa inapaa anga za dunia, walitela ufanisi kwenye shirika la treni na sasa tunasafiri bila shida kwenda Tabora, Kigoma na kwingineko? au wamekuwa ready kuandaa mikataba maridhawa ya madini? pengine wamekuwa ready kwa mikakati madhabuti ya shule za kata zilizotupa 80% failures. Narudia 80% au 150,000 na ushei wako mataani! Na kama wako ready hizi semina elekezi ni za nini? au nanma ya kujipatia vitafunwa?

2.CCM will always get better kwa sababu hahitaji kujirudia itself - Kuanzia mwaka huu (2011) christmas itakuwa tarehe 7/7 (kila mwaka ) na sio 25 December. So, lile tatizo la shopping in the snow for x'mas presents halitajirudia tena.

3. Wapinzani hawako tayari kuungana halafu pia viongozi wengi waliopo huko hawako tayari kuwaachia vijana - forced marriage is ILLIGAL in Tanzania. Na marriage kisheria ni makubaliao ya muuoji na muolewaji kwa mutual benefits. basi. washenga wanahusika kuandaa ubwabwa na dowry kama zipo kulingana taratibu za watu husika. Sijui ni nini kilikuwa kinawasumbua ccm mpaka wabadilishe kanuni za bunge. Na kama CCM have fallen head over heeln in love na chama/vyama fulani fulani bungeni then they should take them. You did it Zanzibar, you can do it again huku bara can you?

5. Kuhusu kutuachia vijana - defination yako ya ujana ni ipi? How old do you think is the shadow minister for Energy - Mnyika, au shadow Minister wa Ardhi - Halima Mdee? how abour our 'home made' hero from Arusha Lema?

6.wamewatoa mafisadi NEC na CC tayari the political game has changed, - Indeed, the political game has changed , for the worst!

7. wakati wa Slaa kukabidhi mwingine kijiti - Just admit it, you wished Dr Slaa was on your side dont you? The man is scaring the hell out you lot I can tell. Nendeni Gym - mapambano bado.

8. time has come kwa Chadema to change its direction na kuwa wabunifu zaidi - If it aint broke dont fix it.



 
CCM mnajikanganya, hakuna msimamo wa taarifa, huyu akisema A mwingine anasema Z. Oneni wenzenu wa Chadema walivyo smart, hata kwenye kampeni 2010 walikuwa smart katika kujibu maswali utafikiri walipewa kwanza somo. Tatizo sijaweza kuona tofauti ya comrade Makamba na Nape na huyo Mukama. Wote kushoto kulia tu. Hakuna cha kujivua gamba wala nini? Nyoka ni yule yule tu, tena kwa kawaida nyoka akijivua gamba ndo anakuwa mkali zaid, kwa mantiki hiyo mambo ni mabaya zaidi kwa Chama chetu hicho. Kuna zaidi ya kubadili viongozi, chama kimeshapasuka makundi matatu, CCM Asili, CCM Mamboleo na CCM Chumia tumbo.

Tatizo lao si kuwa hakuna watu wenye upeo no bali mfumo wao umekaa kisanii sanii na kwa vile ndo wako displayed (watawala) hawana nafasi ya ku ji re-adjust ndiyo maana wengine tunawashauri wakubali tu kukaa benchi for one term ili wa u dismantle mfumo wao huo wa kifisadi na kujenga upya from where they got themselves derailed. Ama basi wakubali katiba iliyo democratic; tatizo kubwa ni kuwa biashara zote unazoziona zina flourish zimeingizwa kwenye government na haziko economically viable zina pata indirect subsidies through ufisadi kutoka serikalini na hii kwavile ni ufisadi kuna watu wanaogopa kuwajibishwa kama watu radical watashika dola na kukataa negotiation. Wanachofanya ni kuendelea ku loot ili waendelee kufinance elections na pia kuwaweka maluki wao kwenye utawala. Its terrible na hapo ndipo unaona they dont even care hata kama nchi itaingia kwenye mapigano kwani wako tayari kwa lolote for their safety.

The transaction cost is so high for wananchi to negotiate peaceful with CCM giants labda kama tutapata external surpport ama labda tuingie katika kuondoana kwa nguvu. Ndiyo maana unaona wengine maji yakizidi wanatafuta cover za udini; ukabila, ukoo; economic classes yote haya ni kulinda status quo.
 
- Binafsi ninasema kwamba Tanzania, tubadilike na kuanza kulilia utawala unaoheshimu sheria, na sio none ishus kama za kofia mbili au mmoja, hili taifa tatizo letu ni moja tu hatuheshimu sheria, iwe wananchi mpaka viongozi, hatuheshimu sheria za Jamhuri. Rais anatakiwa kuitwa bungeni na kuhojiwa na bunge through kamati zake, wasaidizi wa Rais wapitishwe na bunge kwanza, I am praying kwamba siku moja tutafika huko, tutakapofika huko ndipo utaona hakuna faida tena ya Mwenyekiti wa chama kuwa mgombea urais!

- Kwa mfano jamaa hapa US aliteuliwa na Rais kwenda kuwa Balozi Colombia, jina lake likapelekwa Congress kupitishwa, ikagundulikwa kwamba alipokuwa College aliwahi kushikwa akivuta bangi, now Senate wakamkataa kwamba atakwendaje kuwa Balozi kwenye cnhi yenye Drugs kama Colombia, ikabidi Rais achague mwingine, this is what we need bongo, wallahi wataondoka viongozi wengi sana wababaishaji, wewe fikiria kwamba Tanzania tulimleta kiongozi aliyesimamia kuungua kwa BOT kuwa Balozi huku, I mean wazungu walitushangaa sana!

William @ NYC, USA.

Kufika huko tunahitaji kina Hon. SITTA wengi na kuwarudisha kina Hon. Makinda kulima
 
Wapo wengi ambao wamejitokeza kwenye public kuwatumikia wananchi lakini waliamua kutumia majukwaa mengine na si kwenye Magamba. Hili gari (CCM) limechakaa kiasi kwamba hata huwezi kuli-trade in, lililopo ni kulitupia mbali maana hata recycling ime-prove kuwa halikubaliki. Watu wanataka mabadiliko na si sanaa za TOT.

13.JPG


Amusement park:)
 
Back
Top Bottom