William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Maskini watanzania! like orphans hawana pa kupeleka wasi wasi wao. Willium sikiliza raia wenzako maana wengi wanaona kama wewe unaweza suluhisha matatizo yao! Maana ukisoma hapa utafikiri wewe ndo tumaini pekee na kuwa if you hear what they say then something gud can be done. Angalia lakini ukiwapa big expectations ukashindwa kuzi meet utakuwa kama mwenyekiti wako.
- Mkuu mimi ni member tu kama wengine hapa, lakini sio siri kwamba I have access kwa watawala wa vyama vyote vya siasa, kwamba ninaweza kutatua tatizo lolote hapana, lakini ninaweza kuwafikishia wanaohusika malalamiko. HOWEVER Mama Makinda alipopewa u-Spika nilisema hivi, amepewa kwa ridhaa ya Ikulu, meaning kwamba kwa uwezo wangu wa kusoma siasa, kuna mabadiliko makubwa yanakuja on mafisadi maana huyo sio chaguo lao,
- Matokeo yakawa mafisadi kuondolewa NEC na CC na sasa wako njiani kuondolewa kabisa CCM, ninasema hivi wanaondoka very soon kama hawajaambiwa tayari ni kwamba wataondolewa tu ndio maana wameshaombwa kuingia upinzani na kuna wakati walitishia kuanzisha chama chao, sasa wakati wao ni huu wakaanzishe chama chao maana wataondolewa very soon. So mkuu tunajidiliana na kupena moyo pia kwamba pole pole tutafika!
William @ NYC, USA.