Kwa wingu Kubwa na huu Upepo Mkali wa sasa Dar es Salaam nahisi muda wowote koki inafunguliwa na tujiandae tena kwa Maafa

watu wa ziwa tandale na ziwa kigogo bila kuwasahau watu wa ziwa jangwani nadhani mwaka huu mtaita maji mma , hameni nchi maana hakuna namna
FB_IMG_1705997474985.jpg
una maanisha hii ramani?
 
Back
Top Bottom